Hilo Liuaji kama limeua watu kibao ili liwe hapo sio la kuchezea, kukuua ni kugusa tu, sidhani kama ni lijitu la kawaida, uongozi wake unanuka damu tangu liingie , liliingia kwa kuua, pia likaua, na linaendelea kuua, ni kuwa makini nalo.
Kamwe Lissu usikubali chochote, bora kufia gerezani kuliko kukaa meza moja na muuaji, ukombozi hauji hivi hivi kama wapinzani wanao lendemka Tz, haijalishi itachukua muda gani lakini lazima usonge mbele, kufa kila mtu atakufa tu.
Nitawaona chadema ni wehu na wendawazimu hata kuongea neno...
Nilisha waambia kuwa ccm ni KPI ya ujinga na Umasikini Africa, wao busy kuendesha mauji na kuteka raia wake kisa ana mawazo tofauti na wao. Ukitaka kujua ni wajinga Tazana matume anayo unda muuaji mkuu ili kujifariji.
Mnapo ongelea DPP mna mtaja nani? Mtu au CCM? DPP kama mtu hana shida na Lissu, ila DPP kama ccm /muaji wenu ndio huyo anaetaka kunywa damu, ndo huyo anakata shauri.
Nilisha waambia ccm ni wajinga , mkubwa wa mauji alisema wanaharakati na upinzani ni magaidi, polisi wakaanza kushika wapinzani na kuwapa kesi za Ugaidi, hii nchi hakuna watu wajinga kama ccm, uwezo hawana uchu wa madaraka ndo unawafanya wawe hapo.
Huyo ni mjinga na vuvuzela, ilitakiwa aumizwe na ccm kuchangisha bil86 kwa ajiri ya kusuuport mauji ya watanzania, bil86 unaweza linganisha na tone tone ya 1k kwa mtanzania anaetaka ukombozi? Hivi criteria kupata msemaji wa serikali uko vipi? Ni kuchagua tu mtu anaongea na mjinga? Yaani...
Tundu lissu tuta muweka shujaa no 2 wa Taifa baada ya Nyerere, huyu ndio mtu tuna muhitaji ambae yuko tayari kutoa uhai wa maisha yake kwa watanzania.
CCM wamezoea ni wajinga mno, wamefanya hii nchi kama yao na uongozi wa kuachiana vijiti, yaani mtu hana uwezo wowote anategemea kuua watu na...
Pesa ya kawaida, na unaweza ukafanya vitu vya kawaida tu. Nimekuwa napata take home (after tax $6300) for last 5 yrs mutokea Feb 10 2021, lakini wala sioni cha maana nimefanya zaidi ya kuumia na Mortage ya about 500k$ na school fees za watoto. Maisha sioni kama ni mazuri.
Only salary is...
Mimi nilishawaambia CCM ni KPI ya ujinga Africa, hata jana limejidhihirisha kubwa jinga lingine linaambia watu wageni wote walale nyumba za wageni kwa NIDA huku 20% ya watanzania wana NIDA. NIDA haina pesa, not facilitated, hata pesa zikitolewa zina pigwa , over 15 yrs wameshindwa hata kutoa IDs...
Tutaelewana tu, ujinga wa ccm na IDD Amin Mama wa kuua na kuteka watu utakoma, lengo ni ccm na viongozi wa serikali wapigwe vikwazo na kutaifisha mali zao, pole pole tunaanza kuachana na hili chama la kugaidi.
Haya Magaidi, mtumeni kombo na kikwete wakawa kwamue, kwa hii issue hata mtume...
CCM ni KPI ya ujinga Africa, basi wanajiona vichwa kupeana madaraka kwa njia haramu. Haya vikwazo vilichelewa sana, kazi kuua watu ndo kazi wanaweza ccm.
Kombo ni Waziri mzigo, mtapigwa Ban USA na EU, stay tuned.
Kuna Kombo na Kabudi ha watu ni bure, nyie hamna ubavu wa kushindana na mataifa hayo, uchumi wenyewe huu ambao hata Jamaa wa Facebook anatupita, achaneni kuua watu na mkaongee na upinzani mjinusuru, hizo tume mnajiundia kujifurahisha...
Tuandae orodha yote tutute kwa Marco Rubio, Kikwete na Samia, Abdul ni prime suspects, akifuatiwa na Murilo, IGP,mkuu wa majeshi, ccm wote, mkuu wa TISS, Mwigulu..... haya mauji yote lazima wasulubushwe.
Huu mswaada ni bomba sana, uje hata leo labda viburi vita pungua, tumeongea hadi tumechoka, wanajiundia vitume vya kijinga kupumbaza watu, sijawahi ona watu wajinga na wapumbafu kama ccm duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.