CCM walizoea sana kutuonea watanzania, wakatifanya sisi ni mtaji wao, ni wakati wa kujivua kwenye huu ujinga, ili baadae tuheshimiane, tuko barabarani kwa njia yeyote, lazima tuheshimiane na manyanyaso ya miaka 60 yakome, ndugu zangu tinahitaji numbers , hakuna kurudi nyuma, ukombozi hauji hivi...