Recent content by Wo shi niubi

  1. W

    Niliwahi kufanya kazi ofisi moja, mke wa mtu ambaye ni mtumishi wa serikali akanitrap

    Tatizo la uzazi lina tatuliwa na watu wote wawili, mme na mke kwa pamoja, wakiume akisema hana tatizo anadanya, wakike akisema hana tatizo ana danganya pia. Otherwise utoke nje kuzini na unaweza usipate mtoto vile vile. Shida ni kulitatua kwz pamoja, ni rahisi zaidi, kuliko kutoka nje.
  2. W

    Mama Polepole: Wamrudishe mwanangu akiwa mzima, lolote litakalotokea na mimi nimezaliwa na Mungu kutoka mbinguni nitajua cha kufanya

    Halafu kuna majinga yale na muuaji wao yako busy maridhiano, rudisheni watu kwanza mlioaua.
  3. W

    Kundi la 'Wakatoliki' latinga Ubalozi wa Vatican Tanzania kumshtaki Askofu Ruwai'chi na Fr. Kitima

    Kuua binadamu sio mchezo, hiyo kitu ni ogopa inakutafuna hadi unaingia kaburini, kamwe ogopa kucheza na binadamu, ndio kinatokea kwa muuaji wenu, unakumbuka alivyokuwa ana jitapa ohh mimi nimeua sisimizi ohh mimi nimeangushiwa jumba bovu, sasa yako wapi? Ukiwa division Four utabaki hivyo hivyo...
  4. W

    Kundi la 'Wakatoliki' latinga Ubalozi wa Vatican Tanzania kumshtaki Askofu Ruwai'chi na Fr. Kitima

    Muuaji wenu atataabika sana, ana tapatapa apendwe na Kisani, wakristo ni haki tu wala sio kuact, so leo anataka huruma ya Kanisa? Hadi anatafuta Jihadists waende kuandama kuwa ni wakatoliki, bure kabisa. Kwani si ana ungwa na Mashehe haitoshi? Limeshiba damu za Watanzania, unafikiri kuua...
  5. W

    Kundi la 'Wakatoliki' latinga Ubalozi wa Vatican Tanzania kumshtaki Askofu Ruwai'chi na Fr. Kitima

    Muuaji anataka huruma ya Kanisa Katoliki? Si anaungwa na Mashehe kwani haitoshi? Bure kabisa. Limeshiba damu za Watanzania, sasa anaanza kutapatapa, mwambie alidhiane na wauwaji wenzie.
  6. W

    Kusema uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad ni uongo wa waziwazi kabisa

    Yesu ndio aliingia kwenye makanisa, kipindi kile sehemu ya kukusanyikia kwa wayahudi yalikuwa ni synagogue. Ukristo ulianza na yesu mwenyewe hata kabla ya kufa kwake, ukristo ni kufuata mafundisho ya kristo. Sio kweli wanafunzi wake waliuawa ili warumi waanzishe ukristo, wengi wa wanafunzi...
  7. W

    Russia na China si Marafiki wa kuwaamini ni Mbwa wanaobweka sana lakini hawaumi.

    Maduro alikuwa hatambuliki ushindi wake USA & Europe, ushindi ule ule kama wa muuaji wenu, wakampa options kadhaa akakataa, si unajua ukiwa Rais unakuwa umezungukwa na Usalama wa Taifa, Jeshi na mabrigedia wa mchongo unavimba kichwa kuwa vita unaviweza, hivi kama una akili timamu unaweza muamini...
  8. W

    Live Rais Samia: Salaam za Mwaka Mpya

    Lile liuaji limeshiba damu za watanzania, lichawi kazi kutoa maigizo kwa kificho.
  9. W

    Quran inadai Mussa alitabiri kuwa Mtume ataandikwa kwenye Injili

    Jamaa wana visingizio balaa, hapa alitaka kutafuta njia ya ku blame kuwa maandishi yalifutwa, ili kuthibitisha kuwa ndio Maana Muhammed hayumo kwenye injili au torati bila kujiuliza kwanini wafute ? Kwa maslahi yapi? Kwa kuogopa nani wakati huo hawajui nani atakuja? Ukweli ni kwamba Muhammed...
  10. W

    Ushauri: Tangazeni idadi ya Vifo, na Ikibidi Hata Idadi ya Uongo tuu ili Wanyamaze!. Gazeti la “The Sun” limeiita Tanzania HOUSE OF BLOOD

    Huwa nawaambia ccm 100% wajinga, kwani jitu lenu linaonewa halija uwa kweli? Jitu lenu lilianza operations ya kuua watanzania toka mwaka jana, 29th October ilikuwa ni Finally tu. Haya toeni data zenu za uongo lakini ulweli utabaki pepale kuwa jitu lenu liko league 1 moja na Idd Amin , haya...
  11. W

    Tusiwe wepesi wa kusahau, utekaji aliuanzisha Magufuli kwa kumteka Ben SaaNane. He is the one to blame na Mungu amhukumu kwa hilo

    Hakuna mauji makubwa EA kama yaliyofanyika Tanzania under Lile libibi kizee , mauji ya halaiki, hadi yametua ICC sio mchezo. Hakuna Rais Tanzania amefanya mauji kiasi hiki, hakuna Rais Tanzania toka tupate uhuru ameteka watu wengi kiasi hiki, Mdude katekwa, Pole pole Katekwa, Ali kibao, Sativa...
  12. W

    PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Lile bibi Kizee lao halitosheki na damu za watanzania? Maana linatamani sana linywe damu ya Padri Kitima , mungu wangu hilo dude lichawi na liuaji mlilitoa wapi? Kafyeka 10k watanzania, hakuna Rais wa nchi yeyote hapa Africa mashariki amewahi kuua idadi kubwa ya wananchi wake kama huyo Muuaji...
  13. W

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Tatizo ni muuaji kutegemea dini imtetee, kaua watanzania wengi kuliko watangulizi wake, kateka watanzania na kunywa damu zao kuliko mtu yeyote katika nchi hii, ni mtu bogus anae toa maamuzi usiku kwa kujificha, Samia ni serial killer , hakuna binadamu yeyote hapa Africa Mashariki anaweza...
  14. W

    Bishop kawapiga Chenga! Kesho ni Maandamano makubwa sana haijawahi shuhudiwa Afrika Nzima !

    Kesho lazima kiwake, tunahitaji silaha ili tuwaonyeshe hawa mbwa wauaji wame tutesa sana
  15. W

    Simbachawene usibebe gunia la misumari lisilo lako

    CCM walizoea sana kutuonea watanzania, wakatifanya sisi ni mtaji wao, ni wakati wa kujivua kwenye huu ujinga, ili baadae tuheshimiane, tuko barabarani kwa njia yeyote, lazima tuheshimiane na manyanyaso ya miaka 60 yakome, ndugu zangu tinahitaji numbers , hakuna kurudi nyuma, ukombozi hauji hivi...
Back
Top Bottom