PC yangu mbona kama umeiwasha unatumia halafu ukaicha kwa muda kidogo ikiwa monitor screen ipo "on" baadae inazima ila mashine inavuma sasa ukirudi ukabonyeza keyboard yoyote ili iwake na kudisplay kama ulivyoiacha haiwaki yani mpaka utumie power button tena uizime moja kwa moja halafu ndio...
Wapwa naomba mnisaidie kushinda mabishano, kati ya Mrusi na Mmarekan nani ana strong army yenye technolojia ya silaha kubwa zaidi, nani ana vifaa hatari vya vita, nani mbabe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.