Recent content by witzone2

  1. witzone2

    Shinyanga: Kituo cha Afya chagundulika kuhifadhi Damu kwenye Majokofu ya nyumbani

    Lakin wewe si ndo unasifia Kila siku humu... Hakuna kama ccm. Madudu yote yanayofanyika humu nchini ya wizi wa Mali za uma. Huwezi tenganisha na ccm aisee
  2. witzone2

    Wakaazi 83,000 walioathirika na mafuriko Rufiji wahamishiwe Msomera kuwaepusha na vifo miaka ijayo

    Umesikiliza hotuba ya kinana makamo mwenyekiti wenu wa kijan. Hali ya huko ikoje? Anasema Hali ni mbaya wewe unasema watu wanakuza mambo.. Mbona mnajitoa akili kiasi hicho..
  3. witzone2

    Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

    Akili ukishaijengea kitu Dylan huwa inaamin hivyo. Kuna nyumba niliwahi panga. Na ikiluwa na miaka kama 8 Haina mpangaji kisa Kila mpangaji alikuwa anaingia Ina mauza uza Sana. Lakin Mimi skuwahi kuwambiea Hilo tatizo wanalodai. Nilikaa kwenye hiyo nyumba Kwa mda wa miaka miwili bila kuyaona...
  4. witzone2

    Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

    Na huwaambii kitu aisee. Nina ndugu zangu aisee ni shida . Kila tatizo linalotokea kwao wamerogwa..
  5. witzone2

    US waiambia Iran kuwa hawakuhusika hofu ya kutandikwa na Iran

    Ukitaka vicheko unabinyeza ngap vile? Yaan wewe wa itilima upeipata hii taarifa ya Siri halafu Israel asijui. Hivi kumbe dini huwa zinaondolea watu akili
  6. witzone2

    Spain kuitambua Palestine kama taifa kamili

    Hivi kumbe palestina kutambuliwa na taifa la kikafiri Nako ni kupiga hatua?
  7. witzone2

    Wasenegal wameikabidhi nchi kwa vijana Faye na Sonko. Wacha tuone kama wamebutua au wameupiga mwingi

    Kwani hii tangu uhuru si tunaongozwa na mazee tu. Amefanya Nini kama sio kuongeza umaskn na shida Kwa watanzania. Mazee si ndo yanaongoza Kwa wizi wa Mal zetu
  8. witzone2

    Uzinzi, Ulevi wa pombe na kamari vimeleta maumivu makubwa Kwa wanaumme wengi Sana

    Sasa kama ni mada ya wajinga umefata Nini hapa...
  9. witzone2

    Uzinzi, Ulevi wa pombe na kamari vimeleta maumivu makubwa Kwa wanaumme wengi Sana

    Jadili mada au toa maoni yako. Ukitaka ujue Nina Nina. Hutaelewa. Siwezi weka mafanikio yangu kwenye mitandao ya kijamii. Humu tunapeana elimu. Burudan na konection za maisha
  10. witzone2

    Uzinzi, Ulevi wa pombe na kamari vimeleta maumivu makubwa Kwa wanaumme wengi Sana

    Issue ya bangi inaingia kwenye ulevi.. nimeshuhudia ndani ya lamilia ya dada yetu kusambaratika Kwa kosa la mume wake kuwa mvuta bangi
  11. witzone2

    Uzinzi, Ulevi wa pombe na kamari vimeleta maumivu makubwa Kwa wanaumme wengi Sana

    Kumbuka umaskin unadhalilisha Sana. Unaondoa utu. Unaonekana kitu Kwa Kila mtu.
  12. witzone2

    Tuache siasa katika elimu. Tahasusi mpya ni sahihi na zinapaswa kuongezwa zaidi

    Mtoa mada wewe ni kijani. Samahan lakin Kwa Hilo. Wote uliyosema yanaendana na Dunia ya Sasa katika kutukomboa sisi kama taifa.? Nisaidie Kwa hili. Je umaskni wetu kama taifa unachangiwa zaidi na uchache wa tahasusi zilizopo? Kwenye kuongeza hizi tahasusi ndo kutatufanya tuendelee kama taifa...
  13. witzone2

    Uzinzi, Ulevi wa pombe na kamari vimeleta maumivu makubwa Kwa wanaumme wengi Sana

    Naandika hivi vitatu ambavyo ni starehe zinazoleta maumivu na umaskin mkubwa Sana kwenye maisha ya wanaumme tulio wengi Nianze na uzinzi. Mwanaumme mzinzi hutumia pesa nyingi sana kwenye huu ushenzi wa uzinzi. Hupata Hela wakat mwingine Kwa shida Sana hata kuhatarisha maisha. Lakin Hela nyingi...
  14. witzone2

    Majukumu ya Wizara ya Elimu na Wizara TAMISEMI kwenye elimu ni yapi

    Hii nchi ilishakuwa babeli. Kila mtu anaongea lugha yake
Back
Top Bottom