Recent content by witzone2

  1. witzone2

    JamiiForums Tanzania Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

    Yaan akili ya uvc Yaani akili za uvccm siko zote huwa zinaweza kinyumenyume. Kwanini husemi tuzitumie sisi wenyewe kwa kuzibadilisha kuwa bidhaa . Kwan alichokisema Trump ni cha uongo. Kwan wewe ni mlipa kodi wa USA. Wewe ni raia wa USA?
  2. witzone2

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Watu 13 wamefariki kwenye jengo lililoporomoka Kariakoo. Serikali kugharamia matibabu ya majeruhi na kuhakikisha waliofariki wanasitiriwa

    Hivi tuna raisi kweli nchi hii? Nchi ina msiba wewe raisi unaondoka nchini kwenda kutalii huko huku unaacha msiba nyumbani. Utakuwa baba wa ajabu sana unaacha msiba nyumbani kwako unaenda sherehe kwa jirani. Viongozi wetu wa kiafrika huwa wanaona wananchi wake kama nyani vile.hawajali kabisa...
  3. witzone2

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka sasa kuna yoyote anashikiliwa na Polisi baada ya gorofa kuanguka?

    Wamemkamata niffer eti kisa kuchangisha fedha. Kwa ajili ya wafanyabishara wenzake kupata maafa. Nchi hii ni ngumu sana
  4. witzone2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pendekezo: Itungwe sheria ya upimaji wa DNA kwa mtoto. Sheria iwe lazima pindi tu mtoto anapozaliwa

    Inaonekana watoto wako wote imewapata nje ya ndoa. Huku una mme ndani. Ndo maana umekuwa mkali kama pilipili
  5. witzone2

    JamiiForums Tanzania Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

    Yaan Hawa majamaa na dini Yao ya mo ni shida Sana. Yaan hawawazi vitu vya maana. Kila kukicha yanawaza namna ya kimkandamiza Mtoto wa kike tu.
  6. witzone2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

    Huu upuuzi ndo nilishakataa. Eti nigombane na mke halafu atishie kwenda kwao. Ataondoka mda huo huo. Mke wa mdogo wangu alikuwa na hii tabia ya kumtishia Sana mdogo wangu wakigombana anatishia kuondoka kwenda kwao. Sasa siku Moja nikaendapo nikawakuta mama mkwe, mashangazi na dada zake...
  7. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Mkopo silipi. Serikali ililipa. Make nilikuwa napokea sms ya makato Kila mwezi.. Hadi 2017.. yoga wako ndo umaskn wako.
  8. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Ndo maana sitaitaja jina. Figusu za hii serikali nazifahamu Sana.
  9. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Sikuwahi kuulipa. Ila Hadi 2016. Mshahara ulikuwa unaingia halimashauri wakawa wanaula . Magu ndo amekuja kuondoa Kwa operation hewa ya wafanyakazi kazi. Make nilikuwa napokea sms ya makato ya mkopo wa Bank
  10. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Huu ndo ukweli. Na siku hizi tunakutana kwenye matukio tu. Kwa upande wa wazazi nilishawawekea bageti Yao Kila mwezi huwa nawatumia Hela ya matumizi. Ila Kwa upande wa ndugu wengine nilisha jizima data.
  11. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Ndugu na wazazi walinitenga hawakunielewa. SEMA nilisimamia msimamo wangu. Hasa kipindi nimeyumba
  12. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Adui wangu no moja ni CCM Kwa kweli. Kwa sababu umaskn wetu umeletwa na CCM
  13. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Nilikopa nikiwa mtumishi wa serikali na Hilo deni skulilipa Hadi Leo. Nilivyokopa nikiacha kazi baada ya miezi miwili
  14. witzone2

    JamiiForums Tanzania Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

    Wangu naye nilimtoa kazin. Na yeye ndo msimamiz mkuu na mhasibu wangu. Mke wangu si wa mambo mengi.
Back
Top Bottom