Wabongo na msosi lazima waje asee...niliona kijijini kwetu jamaa anakaa town, sasa alifiwa na mke wake akamsafirisha kijijini kumzika, mavillage champion kama kawa, yakamsusia msiba, eti jamaa huwa anaringa, na wakifiwa haendagi, fastaa akaita vijana wa kukodi, akaangusha mapilau, kuku roast...
Asee Congo ilitakiwa ishike nafasi ya kwanza au A+...nilienda Kinshasa kikazi for 3 weeks, si me or ke wote ni mwendo wa vipako🤣🤣...halafu most of them hawajabarikiwa ule uzuri kama wadada wa kibongo, wamekomaa sura, vidole , so mkorogo unadunda wana sugu hao sio poa!
Kutokumuamini Binadamu yeyote hapa chini ya jua kuanzia mama, baba, mtoto,mme/ mke, kaka, dada, na wengine wanaofuata ( miyeyusho kichizi) ...I trust myself
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.