Mbegu za GMO ni kweli kila utafiti khs madhara na faida zake ya hizi mbegu duniani....Faida zake ni ndogo sn na madhara yake ni makubwa. Tubaki na mbegu zetu za asili. Mh Bashe kwa hili tafakari sana. Maamuzi yetu ya sasa yanaweza kutuletea madhara ya vizazi vijavyo..
Masood amepenyeza UKWELI WA UNAFIKI wa viongozi wa KKKT katika kanisa badala ya kutetea haki ya waumini wao mbele ya viongozi wa kisiasa katika jamii inayowaumiza WAUMINI kiuchumi (hasa mfumuko wa bei) na mengine mengi .
SIYO HAKI KABISA ... LATRA KUNA MAMBO WANATAKIWA KUYAZINGATIA KABLA YA KUKURUPUKA NA KUWASIKILIZA WAMILIKI WA MABASI. HII NAULI WALIYOITANGAZA IFLATION YAKE NI KUBWA MNO. Cyo kweli wamiliki pmja na mafuta kupanda eti ni makampuni 3...SUPER FEO , HAPPY NATION na ABC ndio WAFANYE NAULI ZIPANDE KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.