Recent content by Wisdom Flag

  1. Wisdom Flag

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    H izi ni za level gan of education mkuu
  2. Wisdom Flag

    Uwekezaji katika Photography

    Inachukua muda gan kiongoz kusomea hiyo coz
  3. Wisdom Flag

    Uwekezaji katika Photography

    Nashukuru sana kiongoz pia naomba kuuliza kuhusu lens .....ni namna gani ya kuchagua lens ambayo ni nzuri mnaangalia vigezo gani
  4. Wisdom Flag

    Uwekezaji katika Photography

    Habari zenu viongozi, nina shida moja kwa wale ambao wanajua vizuri kuhusu swala la upigaji picha na vit vingine kam hivyo, naomben mnisaidie hata wa ushauri tu. Nilikiwa nina wazo la kuinvest katika upigaji picha chuoni, naomba mnisaidie vifaa vya msingi kuwa navyo ni vipi na bei zake...
  5. Wisdom Flag

    Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Habari za humu naombeni machimbo ya accessories za simu qa ajili ya biashara
  6. Wisdom Flag

    NATAFUTA CAMERA NZURI USED BAJETI YANGU 800K

    Mwenye camera nzur used naomb tuwasiliane wakuuu bajet yangu 800k
  7. Wisdom Flag

    Mjadala: Kipi bora kati ya kwenda Chuo au Advance Level (Kidato cha Tano na cha sita) kwa mwanafuzi aliyemaliza Kidato cha Nne?

    kacherema, Ahsabte kaka. Nimekuelew je naweza kuchukua dr then nikarud kuchukua IT?
  8. Wisdom Flag

    Mjadala: Kipi bora kati ya kwenda Chuo au Advance Level (Kidato cha Tano na cha sita) kwa mwanafuzi aliyemaliza Kidato cha Nne?

    SUKAH, Ahsante sana mkuu. Mimi nataka nisomee IT hii naipenda toka niko grade 2 ila pia as a career natak doctor, it was nahtaj as skill
  9. Wisdom Flag

    Mjadala: Kipi bora kati ya kwenda Chuo au Advance Level (Kidato cha Tano na cha sita) kwa mwanafuzi aliyemaliza Kidato cha Nne?

    Mimi ni mwanfunzi nimehitimu kidato cha nne last year, binafsi napenda mambo ya Afya na Engineer Mimi nimebalance comb ya PCB NA PCM ila kuna baadhi ya watu wamenishauri niende Chuo wengine A level. Swali: Kama nikienda Chuo kuna tofaut na wa A level na pia nikichukua course ya afya eg co Je...
Back
Top Bottom