Mwendokasi wanazingua sana aisee kwa upande wa muda.
Magari ni machache mno na ni ya kusubiria sana hii inachelewesha sana aisee kama wameshindwa waruhusu daladala zianze route ya kimara kupunguza foleni.
Lengo la mwendokasi lilikuwa ni kuokoa mda na kupunguza foleni na kero ya usafiri lakini...
Ni dhahiri sehemu pekee atakayoalikwa Diamond ni ile inayohusu msanii mwingine wa Wasafi la sivyo huwezi sikia Diamond kawa invited kwenye event yeyote ile.
Clouds,EFM na Tv nyingine hawapigi nyimbo zake. Wasanii hawamualiki kwenye event zao. Na ukikuta msanii anasemwa basi jua ni Diamond...
Umeongea aisee hawa wahindi na waarabu wanawanyanyasa sana watu weusi kwenye enterprises zao. Cha ajabu serikali inawapa support kubwa sana na wala hawalipi kodi eti ni ajabu.
Sasa tofauti kati ya hiyo kitopeni na feza kaileta nani? Kwanini serikali isikubali makosa yake yenyewe na kurekebisha miundombinu yake iwe bora kwa wanafunzi kusomea. Hiyo hoja imekaa dhahiri kwamba serikali haiko tayari kukubali makosa yake yenyewe na kutaka kujificha kwenye msingi wa kuficha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.