Recent content by Wints

  1. W

    Billboard yametoa orodha yao ya Rapa bora wa muda wote

    Lil wayne lollipop,a milli,john, six foot 7 foot, love me,mirror, got money [emoji383],she will [emoji3][emoji3][emoji3]
  2. W

    Daladala zirudi njia ya Kimara - Kariakoo

    Mwendokasi wanazingua sana aisee kwa upande wa muda. Magari ni machache mno na ni ya kusubiria sana hii inachelewesha sana aisee kama wameshindwa waruhusu daladala zianze route ya kimara kupunguza foleni. Lengo la mwendokasi lilikuwa ni kuokoa mda na kupunguza foleni na kero ya usafiri lakini...
  3. W

    Chumba cha Umbea: Wasanii na Mihadarati

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. W

    Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

    Nasikia hata Protestants walitengenezwa na ottoman empire kama njia ya kuteteresha ukatoliki
  5. W

    Diamond Platnumz hiki nini tena?

    Sio muha ni mluguru
  6. W

    Kwanini Diamond Platnumz️ anatengwa na wadau kwenye ulimwengu wa muziki?

    Ni dhahiri sehemu pekee atakayoalikwa Diamond ni ile inayohusu msanii mwingine wa Wasafi la sivyo huwezi sikia Diamond kawa invited kwenye event yeyote ile. Clouds,EFM na Tv nyingine hawapigi nyimbo zake. Wasanii hawamualiki kwenye event zao. Na ukikuta msanii anasemwa basi jua ni Diamond...
  7. W

    Tutengeneze matajiri wetu sisi wenyewe kwa makusudi kabisa

    Umeongea aisee hawa wahindi na waarabu wanawanyanyasa sana watu weusi kwenye enterprises zao. Cha ajabu serikali inawapa support kubwa sana na wala hawalipi kodi eti ni ajabu.
  8. W

    BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

    Umekosa hoja casino na upinde wa mvua vina uhusiano gani? [emoji23]
  9. W

    Kwanini Serikali yetu isitumie mbinu hii ili kufikisha maji sehemu ambazo zinahitaji wa maji kwa uharaka ilo kukabiliana na tatizo la maji

    Bomba linapita chini for security reasons. Ni rahisi vifaa vya mabomba kuibiwa kama mabomba yatapita juu hivyo ni more safe yakipita chini
  10. W

    Hatimae Serikali imekubali kwamba hakuna kitu kinaitwa kipaji maalumu

    Sasa tofauti kati ya hiyo kitopeni na feza kaileta nani? Kwanini serikali isikubali makosa yake yenyewe na kurekebisha miundombinu yake iwe bora kwa wanafunzi kusomea. Hiyo hoja imekaa dhahiri kwamba serikali haiko tayari kukubali makosa yake yenyewe na kutaka kujificha kwenye msingi wa kuficha...
  11. W

    Diamond Platnumz akiri kuwa anapenda sana nyoka

    Anazoeshwa kuyafuga yawe yanatema pesaa
Back
Top Bottom