Mimi huwa nauza kwa jumla dozen kuanzia 16000/= mpk -38 kulingaNa na design y chup ila sijaifanya seriouc business , bdo sijapata wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka brazia, weka boxer za kike,za watoto wa kium na kike, wek tight, wek yale matako ya bandia , mambo n msupa ....ni biashara nayopenda sana maan haina changamoto sana ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka muuzaji wa kike , wadada wengi huogopa kununua chupi kwa mkaka , ningekushaur uuze na jumla pia hata kama utaanza na dozen 20 zitakusogeza na huku ulishafika Ug basi mambo yatasonga tuu haijalishi umefungua wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyuzi kama 4 hivi za mwaka jana mpya kabisa kuhusiana na biashara Uganda, hebu tafuta utazipata ...watu huona uvivu kuja kila siku kuelezea point zile zile ...tafuta Uzi upo
Dodoma maeneo gani kma n sehemu imechangamka weka chips na mazagazaga yote ....
Matunda in biashara Nzuri sanaaa na kila siku unaingiza hela
Apples n biashara nzyr pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.