Recent content by Winner80

  1. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni Mchungaji - Sehemu ya nne

    Mbona nilipost sehemu ya tano
  2. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni Mchungaji - Sehemu ya nne

    Wachungaji wakuliya tupo mfano mzuri ni nabii Suguye, Nyakiha mimi mwenyewe na wengine wengi tu trafiki atulie
  3. Winner80

    Jipatie nakala yako ya kitabu nilikuwa Teja sasa ni Mchungaji

    Kitabu hiki kinapatikana kwa bei nafuu kabisa ya shilingi 7,000/= za Kitanzania. Unaweza kununua nakala yako kwa [emoji1428]Tigo Pesa: 0659-409447 [emoji117]M-PESA 0767 879406 [emoji1428]Hakikisha unanitumia na majina yako kamili. Kwa huduma ya[emoji1428] (delivery) utachingia nauli kidogo...
  4. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni Mchungaji sehemu ya tano

    Shukrani sana mtu wa Mungu barikiwa
  5. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni Mchungaji sehemu ya tano

    Baada ya msiba wa baba ndugu wote waliondoka na kuitelekeza kabisa familia yetu. Hakuna hata ndugu mmoja aliyeonyesha moyo wa kuendelea kujihusisha kwa namna yoyote na maisha yetu. Mbaya zaidi ni kwamba, walimnyang’anya mama karibia mali zote alizoziacha baba, pamoja na chakula ambacho...
  6. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni Mchungaji - Sehemu ya nne

    Baada ya kuwa mtoto niliyekataliwa na ndugu zangu wote mjini, sikuwa na kwingine kwa kwenda zaidi ya kuanza kufikiria kutorokea mtaani. Kila mahali nilipodhani naweza kupata msaada ilishindikana. Baada ya kila ndugu kunikataa, mara nikaanza kuishi mtaani. Mara nyingi sana nilikuwa nikishinda...
  7. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Shukrani Mungu akubariki sana
  8. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Asante kwa ushauri [emoji120][emoji120][emoji120]
  9. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Wengi tunafahamu, kwa maisha ya mjini inapofika kipindi cha sikukuu, kama vile ‘Christmass’ na Mwaka mpya watoto hufanyiwa mambo mengi mazuri na wazazi wao. Nikiwa mjini naishi kwa ndugu zangu, kipindi cha sikukuu kilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa naongezewa uchungu na chuki. Watoto wenzangu...
  10. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Mimi ndio mwandishi
  11. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Ameeen asante kwa maombi yako
  12. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Nafikiri nimeongea kwenye hiki kitabu jinsi nilivyoshinda
  13. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
  14. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Asante kwa ushauri mzuri ukweli nimeishi maisha hayo najua ubaya wake. Napambana naomba Mungu anisaidie nipate hela ambayo itanisaidia mbali kutoa PDF nitoe vitabu kwenye sober house mbalimbali. Ili wale wote wanao pata huduma kwenye hivyo vituo wawe na muda wa kusoma hizi shuhuda za kuwajenga
  15. Winner80

    Nilikuwa teja sasa ni mchungaji

    Naweka mtu wa Mungu barikiwa sana
Back
Top Bottom