Wengi tunafahamu, kwa maisha ya mjini inapofika kipindi cha sikukuu, kama vile ‘Christmass’ na Mwaka mpya watoto hufanyiwa mambo mengi mazuri na wazazi wao. Nikiwa mjini naishi kwa ndugu zangu, kipindi cha sikukuu kilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa naongezewa uchungu na chuki.
Watoto wenzangu...