Kitabu hiki kinapatikana kwa bei nafuu kabisa ya shilingi 7,000/= za Kitanzania.
Unaweza kununua nakala yako kwa
[emoji1428]Tigo Pesa: 0659-409447
[emoji117]M-PESA 0767 879406
[emoji1428]Hakikisha unanitumia na majina yako kamili.
Kwa huduma ya[emoji1428] (delivery) utachingia nauli kidogo...
Baada ya msiba wa baba ndugu wote waliondoka na kuitelekeza kabisa familia yetu. Hakuna hata ndugu mmoja aliyeonyesha moyo wa kuendelea kujihusisha kwa namna yoyote na maisha yetu.
Mbaya zaidi ni kwamba, walimnyang’anya mama karibia mali zote alizoziacha baba, pamoja na chakula ambacho...
Baada ya kuwa mtoto niliyekataliwa na ndugu zangu wote mjini, sikuwa na kwingine kwa kwenda zaidi ya kuanza kufikiria kutorokea mtaani.
Kila mahali nilipodhani naweza kupata msaada ilishindikana.
Baada ya kila ndugu kunikataa, mara nikaanza kuishi mtaani.
Mara nyingi sana nilikuwa nikishinda...
Wengi tunafahamu, kwa maisha ya mjini inapofika kipindi cha sikukuu, kama vile ‘Christmass’ na Mwaka mpya watoto hufanyiwa mambo mengi mazuri na wazazi wao. Nikiwa mjini naishi kwa ndugu zangu, kipindi cha sikukuu kilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa naongezewa uchungu na chuki.
Watoto wenzangu...
Asante kwa ushauri mzuri ukweli nimeishi maisha hayo najua ubaya wake.
Napambana naomba Mungu anisaidie nipate hela ambayo itanisaidia mbali kutoa PDF nitoe vitabu kwenye sober house mbalimbali.
Ili wale wote wanao pata huduma kwenye hivyo vituo wawe na muda wa kusoma hizi shuhuda za kuwajenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.