watu wengine wanachekesha kweli PAYE really???hivi watu wangapi wameajiriwa mpaka PAYE iwe big deal kwa takwimu tu za kawaida most people in tanzania are either at xul or jobless and some are not into working a.k.a jobless bt no regrets....and very very very few employed and self employed so...
yani unapokua mzee afu hauna hata punje ya busara nimajanga،،،،eti hakuna sheria yakuwaruhusu cdm kuwa na red brigade!!!!ila ipo yakuwapa kiburi ccm chakuwa na GREEN GUARD??hivi hii katiba ya tendwa namabosi wake ccm au????mwanasheria gani anaropoka ropoka kama...
soma chote alichoandika ndo utajua uhusiano unafupisha hadi kuelewa statement،،،،kikweta amebarikiwa sura na uzazi mkubwaaa nchi imemshinda hii,,,,,shame on air hostes na co president!
tatizo lako unajiangalia wewe na wanaokuzunguka wenye hela hiyo!!!ila kwa taarifa yako 2 kuna w2 wengi wanasimu ili waweze kupatikanika nasio 7bu wanaimudu mjombaa!afu swala hapa sio tu kodi mkuu ila je hii kodi wakikusanya wanafanyia nn???serikali yetu inakusanya kodi nyingi kuliko...
kaka,,,elf 12,000/=،،،،،،wala juzi tu imeletwa kodi ya majengo home n TSH 44,442/=......so wamepandisha mkuu na hyo point ya waangalie nahyo nyumba je yabiashara au makazi inamashko sana kuna w2 mjini wana apartments kwa mwezi milioni 2 per head na wana...
kuna wagogo mjomba niwavivu nao sijawahi ona mtu anaona bora alale au aombe kuliko kufanya kazi ww fikiria hii...barabara nyng zinazojengwa dodoma vibarua wanatoka mwanza,shinyanga na dar ila co dodoma kisa m2 anaona elf 5 kwacku ndogo bora aombe buku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.