lecture zinaanza saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku kila lecture ni masaa 2. Kwa mtu mmoja mmoja inategemea kwa siku anaweza kuwa na lecture 1, 2,3 au hata asiwe nayo kabisa
kuingia au kutoka hukatwazi wewe ni mtu mzima unajitambua ila itakapozidi saa 5 usiku itakubidi upite kwa kuwaonesha SUMA JKT kitambulisho ndipo uruhusiwe kuingia chuoni
Mkuu hapana, mimi sina mkataba tena na Udom. Kwa MD siwajui maana wako busy kupindukia wadau wa Coed wanaweza kuwafahamu vizuri laada wanaweza kukusaidia zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.