Tunatafuta Fundi Pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.
📍 Mahali: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam
Tunatafuta mtu mwenye:
✅ Uzoefu wa kufanya service kwa umakini
✅ Nidhamu, uaminifu na kujituma
✅ Ari ya kukua pamoja na biashara
💼 Malipo
Utapata...
Tunatafuta fundi pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.
📍 Location: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam.
Utapata mshahara wa kuanzia kwa miezi 3, kisha tutaendelea na makubaliano kulingana na maendeleo ya biashara.
📞 Uko tayari? Piga simu 0657 736...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.