Recent content by Wilson wilfred

  1. Wilson wilfred

    Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

    Chanzo??????????????????????????
  2. Wilson wilfred

    Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

    Duuu, basi ajira uwiiiiiii!!!!! Mwaka huu
  3. Wilson wilfred

    Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

    Natumai ajira za walimu 2016, zitatangazwa leo, kesho, kesho kutwa au mtondogoo, kwasababu jana ndo ulikua mwisho wa kuhakiki maswala yote ya WATUMISHI HEWA, sasa hakuna kikwazo kingine!!! Au wataleta kikwazo kingine?? Ha ha ha ha ha ha ha, kama kitakuwepo bas TZ mji wa AHADI!!!!
  4. Wilson wilfred

    Taarifa ya Polisi Dar kuhusu wanaojihusisha na ‘UKUTA’

    Chadema nomaa, si wamejifanya Wana bania ajira?? Sasa acha waucheze kwanza wa tarehe 1
  5. Wilson wilfred

    Uhakiki wa watumishi hewa wakamilika, ahadi ya Magufuli ya miezi 2 yatimia

    Hivi hawa watu bado hawajahakiki na kumaliza? Maana naona huu ni mwezi wa tatu tangu Mh. Rais atangaze na alisema itachukua mwezi mmoja au miwili tu. Hivi kuna nini hapo?
  6. Wilson wilfred

    Kuhusu ajila za ualimu 2016

    Tuta mshukur Mung
  7. Wilson wilfred

    Kuhusu ajila za ualimu 2016

    Jaman Wana Jamii forum, naomba mnisaidie kwa hili, nime sikia tete si kwamba serikali eti kwenye mpango wa kuajiri walimu mwaka huu 2016, itaajiri hata wale walio maliza masomo mwaka huu 2016 yaan mwezi may 9,yaan walio Pata matokeo July 18, SASA NAOMBA ANAYE FAHAMU VIZURI, juu ya mpango huu...
  8. Wilson wilfred

    Kuhusu Wanachuo Kipindi Cha Uchaguzi mkuu

    Jamani naomba mnisaidie kwa hili. Hivi wana vyuo wote nchini watafunga au watabaki vyuoni ili kuwapigia kura viongozi wao katika vituo walikojiandikisha?
  9. Wilson wilfred

    Sasa nashuhudia rasmi anguko la CCM

    #hii ni kali, jaman Bring our #money
  10. Wilson wilfred

    Zitto aitisha Press Conference (Machi 22, 2015) Serena Hotel

    Zitto nixheeeeedaaaaaah watakao enda mtutaharifu jaman
  11. Wilson wilfred

    Zitto aitisha Press Conference (Machi 22, 2015) Serena Hotel

    Sasa chadema yetu daaaa mhhhhhh
Back
Top Bottom