Inasemekana benki kuu hakuna hata senti tano iliyobakishwa kwani kuna mfanya biashara maarufu aliyekuwa akihitaji fedha zake Kwa ajili ya kuendesha shughuli zake ikiwemo kulipia mzigo wake uliokwama bandarini kaambiwa hakuna hata mia hivyo asubirie kama CCM ikishinda atarejeshewa fedha zake kwani fedha nyingi za watu zilizokuwa benki kuu CCM wanazitumia kufanya kampeni na kuhonga watu.
Nawaasa CCM kuwa makini na fedha za watanzania wasizifanyie masikhara LA sivyo wataipeleka nchi pabaya.
Mwigulu na wenzenu wenye uchu wa kuendelea kutawala nchi kimabavu huku mkitumia Mali za watu kujipatia madaraka kuweni makini.
Come on .. he just miswrote it! Kamtaja Mwigulu & wenzake, kwa hiyo alimaanisha hazina!Aisee!! Mkapa kweli hakukosea kuwaita malofa daah!!.
Mkuu kumbe mtupu kiasi hiki wakati mwingine kukaa kimya ni bora unaficha upumbavu wako.
Hebu nifahamishe jinsi ya kufungua account BOT process zinakuaje?
1)ElimuHahahaha.Magamba leo nimewapa cha kuzungumza. haya neng'enekeni mpaka kukuche.
Teh teh teh!!Come on .. he just miswrote it! Kamtaja Mwigulu & wenzake, kwa hiyo alimaanisha hazina!
Inasemekana benki kuu hakuna hata senti tano iliyobakishwa kwani kuna mfanya biashara maarufu aliyekuwa akihitaji fedha zake Kwa ajili ya kuendesha shughuli zake ikiwemo kulipia mzigo wake uliokwama bandarini kaambiwa hakuna hata mia hivyo asubirie kama CCM ikishinda atarejeshewa fedha zake kwani fedha nyingi za watu zilizokuwa benki kuu CCM wanazitumia kufanya kampeni na kuhonga watu.
Nawaasa CCM kuwa makini na fedha za watanzania wasizifanyie masikhara LA sivyo wataipeleka nchi pabaya.
Mwigulu na wenzenu wenye uchu wa kuendelea kutawala nchi kimabavu huku mkitumia Mali za watu kujipatia madaraka kuweni makini.
Come on .. he just miswrote it! Kamtaja Mwigulu & wenzake, kwa hiyo alimaanisha hazina!
Hahahaha.Magamba leo nimewapa cha kuzungumza. haya neng'enekeni mpaka kukuche.
Hahaha... hivi unajua maana ya Benki kuu... naamini siku ukijua maana ya Benki kuu na kazi zake utajuta sana kupost utumbo wa kuku