Niliwahi kupost kuhusu kuwa na kikundi Cha VIBARUA MASHAMBANI, Sasa nafanya na usimamizi pia kwa mikoa ya Lindi, Njombe, mbeya, iringa,Ruvuma na Songwe tu,
- mazao ya parachichi, ufuta, mpunga, mahindi, tangawizi, viazi mviringo na korosho
-huduma ya VIBARUA mashambani pia ipo tunafanya kazi...