Kila kitu chanzo chake ni Mungu. Biblia katika kitabu cha mwanzo sura ya kwanza na ya pili, inaeleza kwamba, baada ya Mungu kuumba wanyama aliwapitisha kwa Adam (mwanadamu wa kwanza) ndipo akawaita majina kama alivyoona yeye Adam. Nadhani nimeeleweka mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.