SIMU YANGU TECNO W4 INA MWEZI MMOJA MPAKA SASA LAKINI NIMEPATWA NA SHIDA YA KIPESA NIMEONA NIUZE NILICHONACHO MAANA NDO MSAADA WANGU WA KUJIKWAMUA KATIKA TATIZO LANGU SIMU YENYEWE INA LAKI MOJA NA SABINI TSHS=170,000 HAIPUNGUI HATA KIDOGO KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NAMI KUPITIA NAMBARI YA...
Wewe Acha kisema Jk alikuwa Rais Mbovu mimi naona alikuwa Rais bora kwa kuwa aliheshimu mawazo ya mtu na kuheshimu katiba ya nchi na hakuwahi kuivunja kama alivyoiharibu John Pombe Mpaka sasa kakataza mikutano za hadhara wakati kwenye katiba Mikutano imezungumzwa na imepewa kipa umbele pia sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.