Hakuna tatizo kwa mwanamke kutaka kuingia kwenye mahuasiano na aina fulani ya mwanaume.
Kuingia kwenye mahusiano hakuondoa haki ya kuchagua kwa mwanamke.
Kama kigezo ni kuwa na mwanaume mwenye pesa hakuna tatizo kabisa.
Tatizo linaweza kuwa pale anapoanza kudharau wanaume ambao anaona kuwa...
Marytina, bila kuzingatia mambo mengine kwenye bandiko lako nikusifu kwa kuwa mwanamke ambaye walau katika hili umekuwa mkweli.
Wanawake wengi hasa hawa wa 20 - 40 years ni waongo na wanafiki sana.
Hongera walau kwa ukweli huu mmoja.
''...Natamani ninywe sumu nikafe tu maana mwanamke niliyekuwa na malengo makubwa Nate ndo huyo ananicheat na ndugu yangu...''
Kama wewe ni mtu wa ku-entertain mawazo ya namna hii, nakusahuri achana na mapenzi.
Namtakia afya njema na apone maradhi yanayomsumbua.
Upande wa pili; maisha aliyokuwa akiishi yanaweza kunyooshewa kidole wakati huu anapoumwa.
Ana video na picha kadhaa akinywa na akisifia unywaji wa pombe tena zile kali.
Lifestyle yake inawezekana sio sababu ya maradhi haya lakini kama...
Haya mambo ya miaka ya 2000 huko mzee.
Wakati huo ndio internet cafe zinaanza. Miaka hiyo email ni Yahoo na Hotmail.
Wazee wa zamani na maafisa wengi wa serikali wamelizwa sana kwa hii mbinu
Kampuni ya JEFAG Logistics iliyopo Kurasini Dar es Salaam imekuwa ikisababisha kero ya foleni kwa watumiaji wa barabara inayoelekea daraja la Mwalimu Nyerere (Daraja la Kigamboni) kutokana na mipangilio mibovu ya magari ya mizigo.
Muda wa asubuhi malori ya mizigo hujipanga barabarani karibu na...
Shule nzuri ila baadhi Walimu wanachanganya hasira za maisha na masuala ya shule.
Sio sawa kupiga watoto kwa hasira na kutumia viungo vya mwili wako.
Unampigaje mtoto makofi, ngumi na mateke?
Sio sawa,pazeni sauti kwa nguvu watawaumizia watoto hao na kuwatia ulemavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.