Wakuu hii bei ni Kwa meter 1. Na kisima ili upate Maji unatakiwa Meter ngapi..? Nimesikia kuanzia 60 kwenda mbele..! Hii ina maana kuwa 70,000 mara 60 = 4,200,000/= upate kisima..!! Naona bei kubwa sanaa!! Kuna mdau anajua mtu mwingine wa bei poa..?
Wadau inasikitisha sana ku pretend tukafanya demokrasia wakati Chama tawala na serikali yake vikiwa vinang'ang'ania madaraka na kushindwa dhamini kura za wananchi. Huku ni kuwafanya wananchi wapumbafu na kuwafanyia maigizo ya demokrasia. Jamani kama zanzibar Cuf wameshinda wageni nchi. Hii ndio...
Kibaraka polepole anapigania ubunge kwa kuikana haki. Inasikitisha sana. Watu kama hawa wangekuwa nchi za watu nadhani wangeshapotezwa. Sema tanzania ni kisiwa cha uvumilivu.
Dungu wadau nina maswali kadhaa kuhusiana na hii ya mtu mmoja ndani ya ZEC kufuta uchaguzi wa Zanzibar ambao mpaka umefanyika umegharimu pesa nyingi kwa pande zote kila chama na Serikali kwa ujumla.
Maswali: (1) Je ni sababu zipi ambazo zimemfanya mtu mmoja ndani ya ZEC kufuta matokeo. Maana...
Anachoongea mbatia kina logic kubwa. Kuendelea na uchaguzi wa rais wa jamuhuri wa muungano muungano. Inadhihirisha fika kwamba bara tunawatawala wanzanzibar Na kura zao hazina effect yoyote .. Ni sisi tunawachagulia rais na hawana haki. Hili ni kosa kubwa ambalo litaleta madhara baadae kwa...
Ndugu By kepler telescope:Kama unayajua unayoongea fafanua ueleze unavyoelewa alafu watu wakusaidie kukuelimisha. Don't call other people mbumbumbu while wewe mwenyewe hujui unachoongea. Kwa taarifa yako in life without taking risk or challenges, utakuwa the same mpaka unaingia kaburini. Iwe ni...
Ngudu Croach sijui COARTEM ..!! Nadhani hujanielewa point yangu. Sio kwamba kumsaidia
mtu kulikuwa ni kuwa force wachague chama fulani. Mimi sina chamaaa !!! Maana ya sentensi
zangu hapo juu ni kwamba watu wengi wamekuwa wakilalamika maisha magumu, Mishara midogo,
hamna madawa hospitalini...
Yaani ni shida kweli. Mimi sioni hata umuhimu wa huu uchaguzi. Kwani sioni kama haki inatendeka..!! Kama unavyosema viongozi wa Tume wote wamechaguliwa kwa matakwa ya CCM. Hivi kwa nini vyama vya upinzani havikufikiri mapema kushinikiza bungeni kuwa waunde tume kama ilivyokuwa ile ya Ukaguzi wa...
Mkuu Honolulu kwa kweli huna budi kusitisha misaada kwa yeyote yule. Mimi pia nimekuwa nikisaidia sana lakini imenikatisha tamaa na kuona kumbe umasikini wetu ni wa kujitakia. Kuanzia sasa kila mtu aishi kwa shida zake..!!!
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya...
Nimejaribu kufuatilia tetesi za matokeo ambazo zinatolea na watu mbalimbali. Lakini cha kushangaza NEC wakiyatangaza yanakuwa kinyume na jinsi ya matarajio ya wengi. Sasa nimeamini kuwepo kwa bao la mkono
Ishara ya Bao la mkono:
(1) Katika matokeo ya Urais yaliyotangazwa na NEC utaona jinsi...
Wakuu Ukawa kesheni vituo vyote tanzania. Maana ndio kura zinawekwa kwa njia hii usiku huu. Au kuja zingine zimeshawekwa utakuta. Wagombea wote Wekeni watu wenu walinde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.