Recent content by William-123

  1. W

    Tunachimba visima kwa bei rahisi kabisa

    Wakuu hii bei ni Kwa meter 1. Na kisima ili upate Maji unatakiwa Meter ngapi..? Nimesikia kuanzia 60 kwenda mbele..! Hii ina maana kuwa 70,000 mara 60 = 4,200,000/= upate kisima..!! Naona bei kubwa sanaa!! Kuna mdau anajua mtu mwingine wa bei poa..?
  2. W

    Maalim Seif: Mimi ndio Rais wenu

    Wadau inasikitisha sana ku pretend tukafanya demokrasia wakati Chama tawala na serikali yake vikiwa vinang'ang'ania madaraka na kushindwa dhamini kura za wananchi. Huku ni kuwafanya wananchi wapumbafu na kuwafanyia maigizo ya demokrasia. Jamani kama zanzibar Cuf wameshinda wageni nchi. Hii ndio...
  3. W

    Mjadala: Kuhusu Uchaguzi wa Zanjadala - Humphrey Polepole na Ismail Jussa

    Kibaraka polepole anapigania ubunge kwa kuikana haki. Inasikitisha sana. Watu kama hawa wangekuwa nchi za watu nadhani wangeshapotezwa. Sema tanzania ni kisiwa cha uvumilivu.
  4. W

    Athari za kufuta uchaguzi Zanzibar na kuendelea na uchaguzi bara

    Dungu wadau nina maswali kadhaa kuhusiana na hii ya mtu mmoja ndani ya ZEC kufuta uchaguzi wa Zanzibar ambao mpaka umefanyika umegharimu pesa nyingi kwa pande zote kila chama na Serikali kwa ujumla. Maswali: (1) Je ni sababu zipi ambazo zimemfanya mtu mmoja ndani ya ZEC kufuta matokeo. Maana...
  5. W

    Mbatia: Hauwezi ukafuta uchaguzi wa Zanzibar ukaacha uchaguzi wa Jamhuri ya muungano

    Anachoongea mbatia kina logic kubwa. Kuendelea na uchaguzi wa rais wa jamuhuri wa muungano muungano. Inadhihirisha fika kwamba bara tunawatawala wanzanzibar Na kura zao hazina effect yoyote .. Ni sisi tunawachagulia rais na hawana haki. Hili ni kosa kubwa ambalo litaleta madhara baadae kwa...
  6. W

    Waangalizi wa kimataifa wasema uchaguzi wa Tanzania ulikuwa huru na haki

    Hawa wasimamizi wanakaa Hyatt hotel dar wanaangalia matokeo ya lubuva kwenye screen. Na wanaona watu tupokimyaaA ndio maana wana assume huru kumbeee
  7. W

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    Ndugu By kepler telescope:Kama unayajua unayoongea fafanua ueleze unavyoelewa alafu watu wakusaidie kukuelimisha. Don't call other people mbumbumbu while wewe mwenyewe hujui unachoongea. Kwa taarifa yako in life without taking risk or challenges, utakuwa the same mpaka unaingia kaburini. Iwe ni...
  8. W

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    Ngudu Croach sijui COARTEM ..!! Nadhani hujanielewa point yangu. Sio kwamba kumsaidia mtu kulikuwa ni kuwa force wachague chama fulani. Mimi sina chamaaa !!! Maana ya sentensi zangu hapo juu ni kwamba watu wengi wamekuwa wakilalamika maisha magumu, Mishara midogo, hamna madawa hospitalini...
  9. W

    Nimegundua hili kuhusu bao la mkono linaloendelea

    Yaani ni shida kweli. Mimi sioni hata umuhimu wa huu uchaguzi. Kwani sioni kama haki inatendeka..!! Kama unavyosema viongozi wa Tume wote wamechaguliwa kwa matakwa ya CCM. Hivi kwa nini vyama vya upinzani havikufikiri mapema kushinikiza bungeni kuwa waunde tume kama ilivyokuwa ile ya Ukaguzi wa...
  10. W

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    Mkuu Honolulu kwa kweli huna budi kusitisha misaada kwa yeyote yule. Mimi pia nimekuwa nikisaidia sana lakini imenikatisha tamaa na kuona kumbe umasikini wetu ni wa kujitakia. Kuanzia sasa kila mtu aishi kwa shida zake..!!!
  11. W

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia. Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya...
  12. W

    Nimegundua hili kuhusu bao la mkono linaloendelea

    Nimejaribu kufuatilia tetesi za matokeo ambazo zinatolea na watu mbalimbali. Lakini cha kushangaza NEC wakiyatangaza yanakuwa kinyume na jinsi ya matarajio ya wengi. Sasa nimeamini kuwepo kwa bao la mkono Ishara ya Bao la mkono: (1) Katika matokeo ya Urais yaliyotangazwa na NEC utaona jinsi...
  13. W

    Vunjo: Maboksi 'kura feki' yakamatwa Himo, Kilimanjaro

    Wakuu Ukawa kesheni vituo vyote tanzania. Maana ndio kura zinawekwa kwa njia hii usiku huu. Au kuja zingine zimeshawekwa utakuta. Wagombea wote Wekeni watu wenu walinde
Back
Top Bottom