Tunachimba visima kwa bei rahisi kabisa

Wakuu hii bei ni Kwa meter 1. Na kisima ili upate Maji unatakiwa Meter ngapi..? Nimesikia kuanzia 60 kwenda mbele..! Hii ina maana kuwa 70,000 mara 60 = 4,200,000/= upate kisima..!! Naona bei kubwa sanaa!! Kuna mdau anajua mtu mwingine wa bei poa..?
 
Wakuu hii bei ni Kwa meter 1. Na kisima ili upate Maji unatakiwa Meter ngapi..? Nimesikia kuanzia 60 kwenda mbele..! Hii ina maana kuwa 70,000 mara 60 = 4,200,000/= upate kisima..!! Naona bei kubwa sanaa!! Kuna mdau anajua mtu mwingine wa bei poa..?
Unataka kisima cha mita ngapi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom