water well driller
Member
- Nov 10, 2015
- 45
- 1
- Thread starter
- #61
Tank mnaweka la litre ngapi?,na je kama nina tank na pump mtanicharge kiasi gani?
Tuta less gharama za tank na pump
Tank mnaweka la litre ngapi?,na je kama nina tank na pump mtanicharge kiasi gani?
Unataka kisima cha mita ngapi mkuuWakuu hii bei ni Kwa meter 1. Na kisima ili upate Maji unatakiwa Meter ngapi..? Nimesikia kuanzia 60 kwenda mbele..! Hii ina maana kuwa 70,000 mara 60 = 4,200,000/= upate kisima..!! Naona bei kubwa sanaa!! Kuna mdau anajua mtu mwingine wa bei poa..?