Recent content by Walnut Creek

  1. Walnut Creek

    Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali

    Hii tabia ya kugeza kila kitu cha nje bila kuangalia kipato cha wananchi wako itakuja kuleta machafuko Nchini.
  2. Walnut Creek

    Nimegundua wale watu ambao hawanywi pombe ndio wanafiki, wachawi na wambea

    Mgunduzi hongera sana kwa kupiga kazi naomba ugundue pia dawa ya ajira Tanzania Vijana wapate kazi.
  3. Walnut Creek

    Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

    Hawa wapo kwenye bubble, Muungano ni kitu cha CCM siyo taifa na siku zinavyoenda watu tunaanza kuamka. Tanganyika na Zanzibar ni mataifa mawili tofauti siyo lazima tuwe pamoja na kusema hivyo siyo ubaguzi.
  4. Walnut Creek

    Nini kilikufanya ukaacha kwenda kuabudu kwenye nyumba ya ibada?

    https://dictionary.cambridge.org/us/dictionary/english/religion
  5. Walnut Creek

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Story za watu humu ndani zinafurahisha na kuelimisha sana. Nashukuru Mungu niliwahi haraka kukinai starehe. Mimi kulipia ada watoto, kuwajengea vitega uchumi na kuwatoa out na vacation inanipa raha kuliko kunywa pombe au mademu.
  6. Walnut Creek

    Nini kilikufanya ukaacha kwenda kuabudu kwenye nyumba ya ibada?

    Dini ni matendo mema. Hauhitaji kanisa, msikiti, hekalu, biblia, koran, torati wala viongozi wa dini.
  7. Walnut Creek

    Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

    Kuna dalili 2025 hii nchi itakuwa na vurugu.
  8. Walnut Creek

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    PSRC ili privatize 176 public firms hata hayo uliyonitajia hapo juu Umma unamiliki hisa ngapi? Ben mwenye kwenye kitabu alikiri utaratibu ulikuwa mbovu halafu wewe unatetea.
  9. Walnut Creek

    Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

    Hapa Duniani kuna watu hawajui kusoma nyakati angefanya hii enzi za Chato ningesema sawa lakini ana fanya hizi issue enzi za Msoga?
Back
Top Bottom