Trillion 40 sawa na dollars billion 20 na billion 500 sawa na 250milion us dollars... Afu kwa 5yr zikopwe..??? Huku deni la Taifa ni trillion 50 sawa na 25 us billion dollars..elimu muhimu sana kwa watu
Hongera kwa simulizi hii mkuu...tambua tupo wengi ambao tunakufatilia,tunajifunza mengi kutokana story hii..Mungu akupe maisha marefu zaidi na afya njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu nakubaliana na wewe 100%...me najenga kwa ajili ya family wasilale nje....ukiwa na kwako na ukafeli kwenye business/uwekezaji haina makali sana kama usipokuwa na sehemu ya kulala ambapo huwa ni hatari zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.