Recent content by widetrendingnews

  1. W

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani ulitumia kumpata mwenza wako?

    Mmmmmmmmhh na wewe feel many ilikuwaje..
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mahusiano Mapya ya Mara kwa Mara ni Umalaya au Safari ya Kumtafuta Mtu Sahihi?"

    Habari za mchana wadau mimi kwa upande wangu kuwa na mahusiano mengi wengi tunaingia kwenye hali hiyo kwasababu tunapenda kuingia katika mahusiano na kufanya mapenzi haraka paspo kupeana muda mrefu wa kujuana tabia mara baada ya kufanya tendo matamanio huishi na kuanza kuzoeana ...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Kipato changu ni 400k na marupurupu 300k kila mwezi. Nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi na maziwa ili kidogo nipate chochote

    Mwanza natarajia kuanza biashara nikapata mshahara wa mwezi huu na marupurupu yake,..
  4. W

    JamiiForums Tanzania Kipato changu ni 400k na marupurupu 300k kila mwezi. Nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi na maziwa ili kidogo nipate chochote

    Awali ya yote ashukuliwe Mungu Mkuu atoaye pumzi na afya. Wadau najua wataalamu na wafanyabishara wamo humo ndani naombeni ushauri kama nilivyoeleza hapo juu kuwa kipato changu na nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi je hiyo pesa inatosha kwa mtaji na ni vitu gani hasa vinahitajika ili...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Hapana kuna vitu vingine si vya kushare kama simu hiyo ni faragha ya mtu na si suala la ndoa...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Mmh.. kwanza pole sana kaka kwa hilo hata mimi niliwahi kukutana na mwanamke wa hivyo ilifika hatua nikaweka password kila Shemu nikitaka kufungua simu kama nipo naye nilikuwa natumia finger print najua hiyo hawezi kuitumia na namba za mabinti wasumbufu nilizisave majina ya kiume ili tu asijue...
  7. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ongezeko la watu wenye shida ya akili kwa sasa ni kubwa kuliko miaka mingi iliyopita je,serikali ina mikakati ipi juu ya jambo hili ...

    Awali ya yote ashukuliwe Mungu Mkuu atoaye pumzi na afya kila leo. Hoja yangu ya msingi mara nyingi nikiwa eneo langu la kazi nimeshuhudia watu wengi wenye matatizo ya akili wastani kwenye watu kumi anapita mtu mmoja mpaka wawili hivi Inaonyesha ni jinsi gani tatizo hilo ni kubwa kwenye jamii...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    Mmm pombe Bana mi siipendi maana ni starehe isiyo na faida imagine anakunywa kwa furaha ili kuingia unaanza kusumbua wengine pia nimewahi kuishi na wa raibu so huwa sipendi hata kuisikia tu...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Maisha yamekufundisha nini mpaka umri huo uliofikia?

    Ndiyo maana unasema ni rafiki yako ukipata tatizo halikuwa nawe tena..
Back
Top Bottom