Recent content by widermike

  1. W

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    GPA za anasa sana hizo
  2. W

    JamiiForums Tanzania Polepole tumekuchoka na kelele zako. Kila siku kifo cha Magufuli, kifo cha Magufuli

    Hizi ni hisia tu, kamuua nani yako mpaka ushikwe na uchungu? Magu mwamba na nusuuu #MZALENDO Na tuko na pole pole Mwa Mwi
  3. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Acha na kfc , hebu tumia mfano huu Wewe una machine ya kukoboa mpunga kilombelo na una Pack mchele kwenye kg 25 au 50 , Haya uuze tanzania nzima sasa Jibu kwa mfano huo
  4. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Kweli mkuu wazo ni Zuri na hisi kwa sasa focus iwe kwenye kuweka stock ya kutosha na kupunguza matumizi
  5. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Bidhaa za kuuza nchi Zima, hizi za chakula uongo , labda uwe na mtaji mkubwa sana na ufungue branch za kutosha , ili scale yako ya mauzo Iwe kubwa afu pia hata hao wateja hawa malizi mzigo kwa wakati pia nao mizigo haitoki
  6. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Ndio mkuu nipo dar es salaam
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Ulijua umelogwa nn hahaha
  8. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Kwaiyo uchaguzi ukiisha ndo biashara zitawaka au
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Nafanya food production kaka , ya sembe , dona na Unga wa muhogo actually nataka nifahamu kwa ukubwa maana naona hapo monetary policy ndo Chanzo ila nataka kujua zaidi ni nini hasa kinafanya Kote pa bane na wakati kama huu Tufanye nini? Pia nawaza kwa nini sija ona mapema
  10. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Changamoto ya mauzo imekuwa kubwa sana Chanzo nini na pia kama mfanyabiashara nini unatakiwa kufanya kwa kipindi hiki cha purchasing power ya wateja kuwa chini. Pia timing nzuri ya biashara na maanisha jinsi ya kuwin kwa season inayofata MAJUBU YA JIKITE KWENYE UZOEFU
  11. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumefikia hapa na huyu mrembo,niweke gia number ngapi ili nitafune hii mali?

    Tu vingeleza vigeleza au sio
Back
Top Bottom