Recent content by WIDAJAMU

  1. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Potelea mbali bora niwe mkweli Coz nampenda toka moyoni hata kama atanikataa
  2. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Hata kama mkuu, but most important an-accept tu
  3. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Mkuu tumia kauli nzuri, ndo maana naomba msaada
  4. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Mkuu hapa ninao wengi but for Discussions only, but I need Miss Chagga as my future wife.
  5. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Ndo nahitaji walau hata neno moja kutoka kwake, jaman hii dunia nitaishije bila kuwa na miss chagga? Acheni hizo jamani naombeni msaada
  6. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Nimekuelewa madam, lakini bas aje atoe japo neno, moyo wangu ulidhike japo kidogo
  7. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Kwanini mkuu? Kwani pesa ndo inapenda? Naomba maelezo
  8. W

    Nimetokea kumpenda Miss Chagga

    Habari zenu wana jf, kwakweli leo nimeamua kuvunja ukimya, tangu nianze kutumia hii forum, nimegundua kitu kimoja kuwa watu wengi(almost 98%) wanatumia picha na Id fake. Lakini hilo halikunizuia mimi kuona maono. Historia fupi, Mimi naitwa xxxx, nilzaliwa Kigoma-kasulu, kwa sasa nipo...
  9. W

    Siku yangu aina ya Tecno W5 ina wazimu?

    Thanks bro,nitarifanyia kazi
  10. W

    David Maraga na majaji wa mahakama ya juu wamekosea kususia uzinduzi wa bunge

    Do not lie to the public,Maraga was questioned for the reason ahead of missing the assembly,he responded that they were not invited to do so as usual. So it is not their fault since Uhuru didn't invited them as Previously
  11. W

    Siku yangu aina ya Tecno W5 ina wazimu?

    Nitajaribu kutoa protector mzee ili nione,VIP kuhusu button kutowaka?
  12. W

    Siku yangu aina ya Tecno W5 ina wazimu?

    Mkuu kwani unaweza kunisaidiaje nikija huko,na ni sh ngapi?
  13. W

    Siku yangu aina ya Tecno W5 ina wazimu?

    Sasa hii mkuu unabadilisha screen nzima au ni protector tu?
Back
Top Bottom