Habari zenu wana jf, kwakweli leo nimeamua kuvunja ukimya, tangu nianze kutumia hii forum, nimegundua kitu kimoja kuwa watu wengi(almost 98%) wanatumia picha na Id fake. Lakini hilo halikunizuia mimi kuona maono.
Historia fupi,
Mimi naitwa xxxx, nilzaliwa Kigoma-kasulu, kwa sasa nipo...