Recent content by wiaoiko

  1. wiaoiko

    Mnaotumia mikono ya kulia mjitafakari sana, nimegundua kitu...

    Write your reply...kila mkono una majukumu yake muhimu. Tafakari wakati wa kukojoa mwanaume huwa unafungua zipu na kutoa dushe kwa mkono upi? Ukishamaliza kukojoa unapokung'uta hilo dushe masalia ya mikojo huwa yanarukia mkono upi?
  2. wiaoiko

    Mpenzi wangu wa kwanza kunipa tunda

    Hivi wanaume wa namna hiyo bado wapo hapa duniani....?
  3. wiaoiko

    Kwanini Abiria wengi wa Mabasi ya Mikoani wakifika maeneo ya Mto Wami na Milima ya Kitonga Nyuso zao huwa ni za Huruma sana?

    Write your reply...Labda Wami lakini Kitonga watu wameizoea mno magari yanapishana na kuovertake kama kawa kwa spidi wanayotoka nayo huko huko juu.
  4. wiaoiko

    Je, huwa mnafuata ladha au mserereko?

    Write your reply...usipende mteremko breki huwa zinafeli saingine
Back
Top Bottom