Peni sana chadema. Wengine tuache mashambulizi kwenye shida. Isiwe kama Speaker aliyekataza wabunge wa ccm kwenda kumzika mbunge wa chadema! Shame on them!
Vyanzo vipya sasa hivi ni kutafuta uchafu mpaka ndani ya nyumba za watu. Wakija tena nafunga geti langu. Huu niujinga sana. Mtatatuletea wezi haomgambo hatuwajui!
Hatuna shida na u hafu uliondani ya fence ya nyumba. RC ahangaike na mazingira ya nje.
Kuchukua hela eti kwa kuwa nimemwaga mbolea...
Hivi wewe 100 digit ni mnafiki wa hali ya juu sana! Ni nani aliyeiharibu CUF, ni nani anayefungia wapinzani wasimarket vyama vyao wakati ccm wako barabarani kila siku. Mimi siyo mwanachama wa chama chochote lakini nwKati vcm inal ann
Hili ni jambo la ajabu sana. Wakati takwimu zinatuambia kuwa wanaochagua ccm ni wale wasioenda shule na wazee leo inakuwaje wanaoshindwa kujaza fomu ni wasomi. Ccm waache upumbavu huo watatuletea vita nch hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.