Recent content by Whoo

  1. W

    TUHUMA ZA RUSHWA BUNGENI: Wabunge Kangi Lugola, Victor Mwambalaswa na Sadiq Murad waburuzwa mahakamani

    Kwakweli kuvuliwa uanachama in jambo muhimu ili chama kioneshe kina cchukizwa na rushwa.
  2. W

    EHE HESABU YANGU YA DARASA LA SABA NINAWAOMBA MUJIBU WENGI WATAFELI

    Jibu ni 105, maana kondoo ana 100 akatolewa bata kilo moja ikawa 99. Xo kg 100 za kondoo+1kg za bata+ 4kg za paka utapata jibu.
  3. W

    AIONE VICENT KIGOC

    Kaazi kwelikweli
  4. W

    Kama ni kuhusu akina Lowassa na CCM yao, M/kiti Mbowe amesema

    CCM ni kizazi cha panya sasa sijui kama panya atazaa paka wa kuja kulinda mazao ghalani. UKAWA mambo yote kwa sasa.
  5. W

    Tabora: Mwanamke awaua watoto wake wawili na kuwazika ndani

    Mama amesikitisha jamii sana. Maana leo nimeonana na mama mmoja analia hajabahatika kupata mtoto hata wa dawa mwingine anauwa watoto.
  6. W

    Naombeni ushauri

    Mabawe pole sana! Kiufupi huyo mwanaume hakutaki anachohitaji toka kwako ni kupunguza nye.. zake tu anapobanwa. Tena kwajinsi ulivyo mwelezea wasifu wake nahisi atakuwa mlevi wa kitu chochote ktk vilevi uvijuavyo. Pls heshm kz yk ulee mtt hana msada huyo!
  7. W

    Mwanamke: Usafi wa 'maakuli' muhimu, sio vizuri kukutana na mtu ananuka sehemu za siri

    Sasa hiyo harufu hujaeleza ni ya nn maana k ina harufu yake inayohamasisha mchezo na kama ni ya uozo ungemsaidia apate matibabu, kama angepona angekuheshimu sana kwani nahisi alikuamini ndio maana alikupa. Pia yawezekana wapo waliomwacha kama ww hawakumweleza tatizo, jitahidi msaidie.
  8. W

    I'm new one:

    Mm mgeni katika safu hii ya jamii forum naomba mnipokee!
  9. W

    Miaka 4 alininyima tunda..sasa nimeoa mwingine ukoo wote umenichukia

    Aiseee alitaka umwoe bila kupima kama bwawa ama kisima. Sema nitakulaumu kama alikwambia yeye hajawahi yaani bikila nawe ukaona ngumu kusubiri. Kama ilitumika hana nyimbo huyo.
Back
Top Bottom