Recent content by Whitney Houston

  1. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kulangua Diapers na Taulo za kike

    hahaha,sawa,kumbe kuna kulangua halafu kuna kununua mzigo.sasa hapo kariakoo ndanindani sijui patakua mtaa gani,unisaidie jina la mtaa itakua vizuri
  2. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kulangua Diapers na Taulo za kike

    Wanajamvi kwema!? Ni viwanda au machimbo gani mtu anaweza kulangua jumla kwa bei ya kiwanda/chimbo na kwenda kuuza jumla na rejareja mkoani -diapers za watoto na watu wazima(makampuni yote),taulo za kike(pads) za kawaida(one-time use na reusable), na za pads kujifungulia(maternity pads)...
  3. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    SAWa nawasubiri
  4. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Darasa lililokamilika ilikuwa lazima liwe na watu hawa, wewe ulikuwa yupi?

    Mimi sipo hapo ila umemsahau yule mwalimu akiwa anatoka darasani yeye anapaza sauti "mwalimu umesahau kutuachia homework" aisee halafu ukute ni ticha wa Hisabati mweeeeh!alikua ananiudhi huyo.
  5. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Asante kwa muongozo bint salt
  6. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Asante,kariakoo yote ni chimbo la stationery?na huko somali nikimtajia tu mwenyeji wangu somali tukafika hapo ni somali yote chimbo au somali ni jina la duka?sijakuelewa vizuri
  7. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Habari za weekend wanajamvi. Nipo katika mchakato wa kufungua biashara ya Stationery,nipo mkoani ila nataka kuwa nalangulia Bidhaa Mkoani Dar. Naombeni mnitajie machimbo nitakayolangua Bidhaa kwa bei rafiki ya chimbo. Bidhaa kama madaftari,counter book,gundi,marker pen,ribon za mapambo kwenye...
  8. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Dogoli kinyamkela naomba dawa ya kizazi kilichoshuka mkuu
  9. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Hebu wa-tag maguru wa tiba za mimea humu JF, crocodiletooth,bin nun halafu kuna mzizi mkavu(huyu hayupo nchini ila atakutumia nafkiri kutoka uturuki au India hiviii
  10. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Ooh, SAWa SAWa,
  11. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Mkapiga MRI kwa kutumia bima ya NHIF? Ni kifurushi gani cha hiyo bima yenu?Naomba kujua pia bima ya NHIF inatoaga huduma ya kumuona daktari bingwa na bingwa bobezi?
  12. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya kulangulia Simu used za Batani (simu ndogo)

    KwaninI?ninao ndugu huko ambao ningeweza kuwapa hayo maelekezo kisha wanipeleke hilo eneo,nisinge okota tuu mtu yoyote
  13. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya kulangulia Simu used za Batani (simu ndogo)

    Unataka kusema nni j Hahaaa,alie kudanganya whitney alifanikiwa kwa ku-pididiwa ni nani? Huyo dayamondi wenu hata kuimba hajui sauti mbayaaa mpaka ichujwe studio ndo mambo yaende ataacha ku-pididiwa?? Uliwahi sikia wapi whitney sauti iyake imechujwa kiasi cha kuhitaji apakwe mafuta kwanza ili...
  14. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya kulangulia Simu used za Batani (simu ndogo)

    Mpya kuna ambazo utalangua kwa 14k,15k,16k...zipo hadi za kulangua 20k-30k....ambapo utauza kuanzia 25-50 kulinga a na brand na mzunguko ni mkubwa ila sio SAWa na used. Nimewahi kusikia wanaziuza kwa kilo ila nilie msikia akisema hivyo alininyima chimbo hata nikampa visenti vya soda anioneshe...
  15. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya kulangulia Simu used za Batani (simu ndogo)

    Kwasababu ya soko la kuziuzia nimeshalisoma wateja wengi ukitangaza Wana bid kwa Elfu kumi mpaka kumi na tatu hawa ni wengi na hapo nakua nimetangaza simu ni 20k. Kwahiyo nategemea kulangua kwa Elfu saba kushuka chini. Na nimechagua Batani kwasababu naona mzunguko wake ni mkibwa
Back
Top Bottom