Recent content by Whitney Houston

  1. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Wakati wa kupimiwa kiwanja hua kuna ile form ina sehemu ya kujaza watu unataka wawe wamiliki endapo wewe utaondoka duniani...haya makaratasi ndio nayazungumzia...jina langu sitaki liwepo hapo
  2. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Wewe binafsi unaweza mtoa mwanao wa kumzaa kwenye makaratasi uliyo muandika endapo utaondoka duniani basii yeye awe mmiliki.unaweza kumtoa endapo atakuomba kwa maneno tuu,,,,utamfuta??na ni mwanao...so kwamba atahitaji akuforce kisheria??
  3. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Hapana wala sio za moto..sema tu maeimango ndo sipendi..
  4. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Hapana...utarithi kiti cha Nchimbi
  5. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Wana jamvi kwema? Kama inawezekana kukataa kuandikwa kama mrithi wa baadae wa wazazi naombeni utaratibu wa kisheria ili kukamilisha jambo hilo. Mmiliki bado yupo hai ...lakini nahitaji kujitoa ktk makaratasi ambayo namimi nimeandikwa kama mrithi wa baadae wa wazazi.. Sitaki chochote
  6. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kulangua Diapers na Taulo za kike

    hahaha,sawa,kumbe kuna kulangua halafu kuna kununua mzigo.sasa hapo kariakoo ndanindani sijui patakua mtaa gani,unisaidie jina la mtaa itakua vizuri
  7. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kulangua Diapers na Taulo za kike

    Wanajamvi kwema!? Ni viwanda au machimbo gani mtu anaweza kulangua jumla kwa bei ya kiwanda/chimbo na kwenda kuuza jumla na rejareja mkoani -diapers za watoto na watu wazima(makampuni yote),taulo za kike(pads) za kawaida(one-time use na reusable), na za pads kujifungulia(maternity pads)...
  8. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    SAWa nawasubiri
  9. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Darasa lililokamilika ilikuwa lazima liwe na watu hawa, wewe ulikuwa yupi?

    Mimi sipo hapo ila umemsahau yule mwalimu akiwa anatoka darasani yeye anapaza sauti "mwalimu umesahau kutuachia homework" aisee halafu ukute ni ticha wa Hisabati mweeeeh!alikua ananiudhi huyo.
  10. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Asante kwa muongozo bint salt
  11. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Asante,kariakoo yote ni chimbo la stationery?na huko somali nikimtajia tu mwenyeji wangu somali tukafika hapo ni somali yote chimbo au somali ni jina la duka?sijakuelewa vizuri
  12. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Habari za weekend wanajamvi. Nipo katika mchakato wa kufungua biashara ya Stationery,nipo mkoani ila nataka kuwa nalangulia Bidhaa Mkoani Dar. Naombeni mnitajie machimbo nitakayolangua Bidhaa kwa bei rafiki ya chimbo. Bidhaa kama madaftari,counter book,gundi,marker pen,ribon za mapambo kwenye...
  13. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Dogoli kinyamkela naomba dawa ya kizazi kilichoshuka mkuu
  14. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Hebu wa-tag maguru wa tiba za mimea humu JF, crocodiletooth,bin nun halafu kuna mzizi mkavu(huyu hayupo nchini ila atakutumia nafkiri kutoka uturuki au India hiviii
  15. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Ooh, SAWa SAWa,
Back
Top Bottom