Wanajamvi kwema!?
Ni viwanda au machimbo gani mtu anaweza kulangua jumla kwa bei ya kiwanda/chimbo na kwenda kuuza jumla na rejareja mkoani -diapers za watoto na watu wazima(makampuni yote),taulo za kike(pads) za kawaida(one-time use na reusable), na za pads kujifungulia(maternity pads)...
Mimi sipo hapo ila umemsahau yule mwalimu akiwa anatoka darasani yeye anapaza sauti "mwalimu umesahau kutuachia homework" aisee halafu ukute ni ticha wa Hisabati mweeeeh!alikua ananiudhi huyo.
Asante,kariakoo yote ni chimbo la stationery?na huko somali nikimtajia tu mwenyeji wangu somali tukafika hapo ni somali yote chimbo au somali ni jina la duka?sijakuelewa vizuri
Habari za weekend wanajamvi.
Nipo katika mchakato wa kufungua biashara ya Stationery,nipo mkoani ila nataka kuwa nalangulia Bidhaa Mkoani Dar.
Naombeni mnitajie machimbo nitakayolangua Bidhaa kwa bei rafiki ya chimbo.
Bidhaa kama madaftari,counter book,gundi,marker pen,ribon za mapambo kwenye...
Hebu wa-tag maguru wa tiba za mimea humu JF, crocodiletooth,bin nun halafu kuna mzizi mkavu(huyu hayupo nchini ila atakutumia nafkiri kutoka uturuki au India hiviii
Mkapiga MRI kwa kutumia bima ya NHIF? Ni kifurushi gani cha hiyo bima yenu?Naomba kujua pia bima ya NHIF inatoaga huduma ya kumuona daktari bingwa na bingwa bobezi?
Unataka kusema nni j
Hahaaa,alie kudanganya whitney alifanikiwa kwa ku-pididiwa ni nani?
Huyo dayamondi wenu hata kuimba hajui sauti mbayaaa mpaka ichujwe studio ndo mambo yaende ataacha ku-pididiwa??
Uliwahi sikia wapi whitney sauti iyake imechujwa kiasi cha kuhitaji apakwe mafuta kwanza ili...
Mpya kuna ambazo utalangua kwa 14k,15k,16k...zipo hadi za kulangua 20k-30k....ambapo utauza kuanzia 25-50 kulinga a na brand na mzunguko ni mkubwa ila sio SAWa na used.
Nimewahi kusikia wanaziuza kwa kilo ila nilie msikia akisema hivyo alininyima chimbo hata nikampa visenti vya soda anioneshe...
Kwasababu ya soko la kuziuzia nimeshalisoma wateja wengi ukitangaza Wana bid kwa Elfu kumi mpaka kumi na tatu hawa ni wengi na hapo nakua nimetangaza simu ni 20k.
Kwahiyo nategemea kulangua kwa Elfu saba kushuka chini.
Na nimechagua Batani kwasababu naona mzunguko wake ni mkibwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.