Mi naona wewe ndo una matatizo kwasababu
* jambo dogo hivyo huwezi susa wiki nzima eti unahama hadi nyumba
*mkeo alishaomba msamaha ukaona ngumu kumsamehe
*ukifuatilia mambo anayofanya mkeo ofisini basi nawapeni miezi miwili tu mtakuwa mmeshaachana, maofisini...
Habari ya weekend wapendwa, mm ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 nna mtoto mmoja na mm ni single parent. Nashukuru Mungu nna kazi nzuri inayonilipa vizuri(private sector). Nimejiwekea vijipesa vyangu na sasa angalau nina amount kubwa. Nlikuwa naomba ushauri ndugu...
mimi personally kusema ukweli napenda, kupendwa kwa dhati, napenda mtu anijali, pia napenda kuridhishwa tuwapo faragha and last but not least, napenda pesaaaaa( asikudanganye mtu bwana, ina play part kubwa ktk mapenz)
Habari za Jumatatu ndugu zangu,
Siku tano zilizopita Mungu alinijaalia mtoto wa kiume. Sasa kuna baadhi ya watu wameniambia kuwa, kitivu cha mtoto kikidondokea kwenye uume wake mtoto anakuwa si rijali, swali langu ni, je kuna ukweli wowote kuhusu jambo hili kisayansi???? nahitaji kujua ili kuwa...
Nilishajaribu kufanya research juu ya suala hilo, kwa kusoma vitabu, kudadisi kwenye internet na kufanya tathmini kwa baadhi ya watu niwajuao, nikaona kwenye vitabu au makala nyingi wameandika kuwa, kisayansi, it has been proved that, about 80 percent of a child's intelligence anarithi kwa mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.