mleta mada n mdini wa kwanza huwez kuleta mada yenye mlengo wa upande mmoja,na unaonyesha kama upande mmoja unaonewa na upande mwingne,je takwimu zinasmaje na je haya ya kina kikwete na nyerere wakati yanatendeka walalamikaji wa leo mlichukua hatua gani,je hvyo vyombo vilivyoundwa vinaongozwa...
.....kitendo cha spika wa bunge kuhalalisha adhabu ya wabunge wa chadema na kumuacha mbunge wao akiyetukana tusi lililowatukana pia wapiga kura wake kinadhihirisha jins gan huyu bb n kivuli cha cmm kwa kutokutenda haki.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.