Wakuu nashkuru kwa misaada yenu hatimae X wamenirudishia account yangu ingawa haina followers tena na watu niliowafollow pia wamepotea vipo vitu nilivopostigi tuu.
Mnisaidie nitoke kwenye hii kitu wazee nilibadilishaga profile picture ndo yote haya yakatokea nimeshatuma email kibao bila mafanikio
Kwa anaeweza kunisaidia tafadhali wakuu
Mtoto ana miezi 6 toka amezaliwa alizaliwa vizur tu ila alivofikisha miezi mitatu akaanza kukoroma awe ana mafua au hana mafua yeye anakoroma tuu ila haimzuii kunyonya wala kupumua, ametumia dawa lkn bado naombeni ushauri
Chief-Mkwawa na wengine naombeni msaada router yangu ya halotel toka juzi inaniletea huu ujumbe wa ISDN/Account nimejaribu kutia user Name na password zote lkn bila bila wakuu
Najaribu kulogin inanikatalia hawa jamaa wanapita madukan wanasema service levy ni kila baada ya miezi 3, yan jinsi unavotoa risiti wanapiga hayo mauzo yako ya miezi 3 mara 0.03 inakuja pesa ndogo sana ila hawa jamaa hawaelewi wanapiga mara 3 yan miezi mi3, kwa hyo kwa sisi wafanya biashara...
Leo nipo Kilimanjaro najaribu kupiga namba ya makao makuu bila mafanikio na hyo number ya simu waligawa wenyewe, sijui wamezidiwa au shida ni nn.! Ivi kama nna emergency ipi sehem sahihi ya kuwapata?
@Chief-Mkwawa Toka nimeingiza update kwenye simu yangu haitaki kuupdate apps nikiupdate inaishia kuzunguka tuu, baada ya kuiupdate pia imepanda kwenye 5G
Ni Samsung A73 mkuu nimekua najaribu mara kwa mara na kurestart sim ila nikijaribu tuu kuupdate inakua pending muda wote, naomba kama naeza...
Samahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie...
Kuna kipindi walikata elfu sita kwa pamoja na malalamiko haya niliyasikia pia kwa watu wengine.
Hamuwezi kunipatia code niwe naangalia jinsi nilivokatwa kwa sbb Kodi ni elfu 10 kwa mwaka Sasa kwa namna hii Mwaka itakua hata 50k, kuna mtu wa tanesco niliwah kumuuliza akaniambia Kodi ni ishu ya TRA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.