Huyu dogo janja ni kawaida yake hyo bastola alimtishia pia rafiki yang mwaka 2019 bila sababu za msingi yaan kwa kifupi chizi kapewa rungu, kwa historia ya huyo kijana sioni km ana vigezo vya uongozi
Ninauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi.
📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu.
Bei 6,500,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati.
Kwa mawasiliano zaidi au...
Nilichokuja kubaini kwenye swala la lugha tusijilinganishe na mataifa kama China, Russia hawa watu wanatumia lugha zao mashuleni, Sisi watanzania tunatumia kiingereza sekondari na chuo so miaka yote hyo haiwezekan usiongee hyo lugha
Mkuu, Naomba kujua Kuna wabunge na madiwan nawafahamu walipitia usalama wa taifa kabla hawajawa viongozi wa majimbo hii leo, Ile kazi yao wanaiacha kabsa au wanaendelea kuwa na ubunge pamoja usalama??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.