Recent content by westandtogether

  1. westandtogether

    Mtu wa proposal

    Habari wakuu! Naomba mtu mwenye ujuzi wa kuandika proposal yoyote kwenye nyanja tofauti anichek Kwa namba 0683263330/0711633656
  2. westandtogether

    Naomba msaada hapa...

    Andika vyovyote inapokelewa na utaitwa kwa interview
  3. westandtogether

    Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

    Umetisha blood, hyo formula tunajia ss tuliosoma cuba
  4. westandtogether

    Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

    Hii club inauwawa na hao wanahisa, yaan labda atokee tajiri jeur wa kuinunua timu kwa %100, km yule wa manutd haya mambo hayatakwepo
  5. westandtogether

    Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

    Hii kitu unaweza nielekeza mkuu?
  6. westandtogether

    Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

    Simba mlicheza na vijana wa raja Casablanca mpya, Nyie kikosi kimejaa wazee kusem kweli John bocco kilometa zimeenda Sana kiwango kimeshuka hafai kuwa standing striker tegemezi, backline onyango pia hawafai, yule mkongo anahitaji msaada yaan Simba inahitaj usajil wa nguvu
  7. westandtogether

    Upimaji wa kiwanja/viwanja na kupata umiliki

    Naomba kufahamu taratibu za upimaji ardhi na kupata hatimilik, binafsi Nina eneo la ekari mbili kigambon mwasonga?
  8. westandtogether

    Ndoa ndio kitu bora kabisa Mungu alichowahi kumpa mwanadamu

    We oa usilazimishe wengne waoe bhana
  9. westandtogether

    Leo ni siku ngumu kwa wasaliti, wasiyempenda anatajwa kila kona

    Ahsante mkuu kwa burudani na kutukumbusha
  10. westandtogether

    Wauzaji wa simu muwe na huruma

    Nomaa mkuu, ila nahisi na ushirikina unatumika pale maan unajikuta huna wazo la kufunua bahasha ile Tena, yaan unajion umeokota embe chini ya mnazi daah..
  11. westandtogether

    Hili la TANESCO kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa, halina dalili za upigaji?

    Huyo waziri hajui anachoongea na kashajua watanzania hawaelewi kinachoendelea, Kufumua grid nzima it's insane kwakweli kwanza kila plant,substation, na distribution lines zinafanyiw maintenance na ndo kazi ya artisan na technician
  12. westandtogether

    Wauzaji wa simu muwe na huruma

    Tatzo wamelenga kupata faida kubwa
Back
Top Bottom