Simba mlicheza na vijana wa raja Casablanca mpya,
Nyie kikosi kimejaa wazee kusem kweli John bocco kilometa zimeenda Sana kiwango kimeshuka hafai kuwa standing striker tegemezi, backline onyango pia hawafai, yule mkongo anahitaji msaada yaan Simba inahitaj usajil wa nguvu
Nomaa mkuu, ila nahisi na ushirikina unatumika pale maan unajikuta huna wazo la kufunua bahasha ile Tena, yaan unajion umeokota embe chini ya mnazi daah..
Huyo waziri hajui anachoongea na kashajua watanzania hawaelewi kinachoendelea,
Kufumua grid nzima it's insane kwakweli kwanza kila plant,substation, na distribution lines zinafanyiw maintenance na ndo kazi ya artisan na technician
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.