Me mbunge wangu co mkubwa ni bwana m...pande za chalinze ,huyu jamaa kama ni mdudu bac nnzi yan hana maisha marefu ktk siasa,bungeni haonekan na jimbon ndo kabisaaa
Kk ama kweli una upeo mfupi sana,think wise na kuw shabiki wa timu lakn co dini mana mawazo unayoyatowa inaonekana huangalii idea bali uko kiushabiki zaidi..mungu akuongezee ufahamu.amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.