Recent content by wembe mkali

  1. wembe mkali

    Mwanaume unajuaje umegusa kizazi/yai la mwanamke wakati wa kujamiiana?

    Hii mada mnajadili kitu kinaitwa VIA vya Uzazi. Via vya uzazi ni viungo vinavyohusika na uzazi. Kuna aina mbili ... Via vya kike na kiume. Hutambuliwa kwa makundi mawili yaani Via vya ndani na Via vya nje. Sasa kwa mwanamke. Via vya nje - Mashavu (Labia Major and Minor) - Kisimi (critoris...
  2. wembe mkali

    Nifahamisheni siku zenye uwezekano wa mwanamke kupata mimba

    Angalia picha Sent using Jamii Forums mobile app
  3. wembe mkali

    Ushauri: Kila nikimfundisha mke wangu kuendesha gari tunakaripiana

    Kisaikolojia tatizo lipo hivi. 1. Ni nadra sana mke n.a. mume kufundishana jambo ni rahisi kwa wachumba au bfrnd grlfrnd kwa sababu wewe unaona unamfundisha mke wako na sio mwanafunzi na yeye anaona anafundishwa na mumewe sio mwalimu hivyo ni rahisi kuona unampelekesha n.a. wewe ni rahisi...
  4. wembe mkali

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Hesabu alizopiga sio sahihi coz kaingiza tarehe mliyosex na siyo last mense Sent using Jamii Forums mobile app
  5. wembe mkali

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    So yeye aliingia lini (tarehe) hedhi ya mwisho Sent using Jamii Forums mobile app
  6. wembe mkali

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Kabla ya 24/11 hukufanya nae mapenzi? Kikubwa cha kuangalia ni yeye alipata lini hedhi yake ya mwisho? First day of last menses Sent using Jamii Forums mobile app
  7. wembe mkali

    Nikijamiana naumwa sana tumbo mpaka siwezi kutembea

    Pole sana.chukua kitambaa then kiwekee barafu then pitisha tumboni mpaka kiunoni then upumzike. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. wembe mkali

    Nikijamiana naumwa sana tumbo mpaka siwezi kutembea

    Pole sana..... chukua kitambaa kiwekee barafu then pitisha tumboni mpaka kiunoni then upumzike. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. wembe mkali

    Dawa ya nguvu za kiume

    Habari wanajamvi. Kichwa cha habari kinajieleza. Moja ya mada za kitaifa zosizo rasmi na zinazo trend kwa kasi ni hii ya nguvu za kiume. Nimejaribu kufuatilia matangazo yake promo zake na dawa hizo nimegundua yafuatayo. 1. Matapeli wanacheza na akili za wanaume 2. Nguvu za kiume ni janga kwa...
  10. wembe mkali

    Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

    Wanaume tupunguze mfumo dume...... kwahiyo mwanaume haonekani muhuni kwa kumchukua huyo aliyejuachia? Tuhimize kuoana Not mwanaume kuoa na wanawake kuolewa......
  11. wembe mkali

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Ni bora ulete picha ya box lake tukuambie kuliko kutumia kidonge ...... Hii ni kwasababu viwanda siku hizi vinatabia ya kutoa dawa zakufanana umbo. .. ...mfano kiwanda cha Pom au Mylan
  12. wembe mkali

    Pale mke anapokua na matatizo ya uzazi ni sahihi mume kuzaa nje?

    Hapo kuna mambo matatu baada ya kujadiliana wanaweza fikia mwafaka huu 1. Kubaki bila mtoto au kuendelea kusubiri.... haitaathiri kitu na mtoto ni zawadi 2. Kuadapt mtoto kisheria inaruhusiwa na hata kwa baadhi ya makabila yasiyo ya kibantu kama wamasai kuna urafiki wa watoto .... yaani anakupa...
  13. wembe mkali

    Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo kikuu anaweza kuwa profesa?

    Huwezi coz U professor sio tunzo ni ualimu..... tunzo ni PHD ambayo kama tafiti inatija unapewa hata kama una diploma though imezoeleka kutolewa after first degree..... U can be awarded a PHD before Masters degree....
Back
Top Bottom