Recent content by weis

  1. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

    Nakaziaa!!! Ukwel mchungu kwa ma nice boys! Imenichkuaa mdaaa kukaelewa aka kamchezoo, ilaa nimerudisha kadi.. idont compromise my standards nowadays, anayetakaa kukaa anakaa, akifail kufataa standard n kuongeaa mara mbili tuu ya tatuu action na noo kugeukaa kufataa kilaa mwanamke achokuambiaa...
  2. W

    JamiiForums Tanzania SoC04 Kutumia mfumo wa kielektroniki ili kuboresha huduma za NHIF

    Asante sana kwa wasilisho zuri na lenye tija mr Novart, umeongea kwa niaba ya umma mkubwa wa wa Tanzania naamini wenye dhamana husika watalifanyia kazi, kuleta ufanisi kazini na matokeo mazuri yenye kuridhisha wakati wa utoaji wa huduma za Afya.
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania How do you handle being an introvert?

    Kwa kweli inachukua muda kwa watu wa aina hii kuwa na muunganiko mzuri na watu wengine, binafsi nilikua nikiumizwa sana jinsi watu wanavyonitafsiri muda mwingine utaambiwa unadharau kwa sababu hupendi kujumuika na watu, lakini kiuhalisia haudharau watu lakini unakua hauko comfortable kujumuika...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya umma vya afya na sayansi shirikishi kwa mwaka wa masomo 2020/2021

    Kumbe atleast upo karibu mwanangu me nipo mbeya mzee
  5. W

    JamiiForums Tanzania Selection za waliochaguliwa kusoma kozi za afya kwa walio omba NACTE 2020/2021

    Yaah ushindani si wa kitoto niliomba mara mbili mfululizo nikapulizaa, pass zangu zilikuwa BCC
  6. W

    JamiiForums Tanzania Nacte second admission ni kwa private institution au hata govment, msaada wakuu

    Nimekutana na hili tangazo website ya nacte sasa lina nipa utata lina husu institutions zp private tuuu au na govment msaada wakuu
  7. W

    JamiiForums Tanzania Diploma ya ualimu kusoma degree ya md

    Shukran mkuu nmekupata
  8. W

    JamiiForums Tanzania Diploma ya ualimu kusoma degree ya md

    Shukran mkuu nmekupata
  9. W

    JamiiForums Tanzania Diploma ya ualimu kusoma degree ya md

    Wadau msaada naomba kujuzwa kama ni kweli mtu akisoma diploma ya ualimu kwa masomo kama physics na mathematics au chemistry na bios anawez kwenda kupiga degree ya medical doctor . Natanguliza shukran zangu wakuu
  10. W

    JamiiForums Tanzania Kwa wote walioomba vyuo kupitia Nacte

    Dah aisee naona mambo n dry mpaka sasa saiz hata link ya kuingia profile haifunguk sjui huko kwen wadau?
  11. W

    JamiiForums Tanzania msaada nacte wakuu

    Shukrani mkuu nimekupata
  12. W

    JamiiForums Tanzania msaada nacte wakuu

    Habari za muda wakuu naombeni msaada kila niki log in kwenye profile yangu nacte wananiambia no user name and password matched you are entry mwaka jana ilikua...
Back
Top Bottom