Nakaziaa!!! Ukwel mchungu kwa ma nice boys! Imenichkuaa mdaaa kukaelewa aka kamchezoo, ilaa nimerudisha kadi.. idont compromise my standards nowadays, anayetakaa kukaa anakaa, akifail kufataa standard n kuongeaa mara mbili tuu ya tatuu action na noo kugeukaa kufataa kilaa mwanamke achokuambiaa...
Asante sana kwa wasilisho zuri na lenye tija mr Novart, umeongea kwa niaba ya umma mkubwa wa wa Tanzania naamini wenye dhamana husika watalifanyia kazi, kuleta ufanisi kazini na matokeo mazuri yenye kuridhisha wakati wa utoaji wa huduma za Afya.
Kwa kweli inachukua muda kwa watu wa aina hii kuwa na muunganiko mzuri na watu wengine, binafsi nilikua nikiumizwa sana jinsi watu wanavyonitafsiri muda mwingine utaambiwa unadharau kwa sababu hupendi kujumuika na watu, lakini kiuhalisia haudharau watu lakini unakua hauko comfortable kujumuika...
Wadau msaada naomba kujuzwa kama ni kweli mtu akisoma diploma ya ualimu kwa masomo kama physics na mathematics au chemistry na bios anawez kwenda kupiga degree ya medical doctor . Natanguliza shukran zangu wakuu
Habari za muda wakuu naombeni msaada kila niki log in kwenye profile yangu nacte wananiambia no user name and password matched you are entry mwaka jana ilikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.