Recent content by web developer

  1. web developer

    SoC03 Unyago wa Dar es Salaam ni wetu

    Kutoka kijiji kidogo cha wavuvi kwa umaarufu Mzizima mpaka kuwa Jiji kuu na kitovu cha biashara nchini Tanzania ni safari ndefu sana kwa Dar es salaam, Jiji lenye eneo na km za mraba 1800 na wakazi zaidi ya milioni tano. Changamoto kubwa kwa jiji hili ni msongamano wa magari na makazi kwa...
  2. web developer

    SoC03 Soka huzuni mpaka burudani

    Mwaka 1993 kwenye Fainali ya CAF Kwa Sasa Shirikisho kwenye uwanja wa  Uhuru timu ya  Simba ilipoteza Kwa kupigwa magoli mawili dhidi ya Stella Club d'Adjame ya Ivory Coast, hali iliyopelekea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa wakati huo Mh. Ally Hassan Mwinyi (Mzee wa ruksa) kutokwa na...
  3. web developer

    TOKOMEZA F YA HESABU

    JANGA LA HESABU MASHULENI Somo la hesabu ni somo lenye uwezo wa kuufanya ubongo wa binadamu kuwa na uwezo wa kufikiria na kuja na jibu sahihi pale penye tatizo na hii ndio faida kuu ya somo hili ndiomaana wanafunzi pia wanafeli masomo mengine kwa sababu wanakosa fikra za kimahesabu wanaposoma...
Back
Top Bottom