Boss wa mbunge ni wananchi wa Jimbo lake, kenge wewe!
Nyie ndo munatuchelewesha kupata Taifa la wananchi! Siku zote munataka watu waishi kwenye dhana ya Rais ni boss wa kila kitu
Naona wengi wamelike comment yako
Usichojua ni kuwa kazi ya Polepole ni kubwa Sana na kazi hiyo inaipa nguvu hio kesi pia
Hata hivyo wewe pamoja na wenzako wengi mpo kimya mkilalamika sirini
Walau Polepole anaongea na kwa maneno yake wengi wanapata Elimu na mwamko wa kupinga udhalimu chamani
Wassira, Makalla na wengineo Walikuwa wanajibu hoja za Heche kila alipokuwa anawabagaza mikutanoni
Sasa wamejikausha kimyaa utadhani hakuna mtu anawashambulia!
Wazee, hivi wakili anayejitafuta mtaani, labda amegraduate last year, na mwalimu sekondari bachelor degree holder mwenye miaka 10 kaziñi, Nani ana possibility kubwa ya kuwa na maisha supa miaka 10 ijayo?
Assume wote wanaishi area moja in the same country!
Kuteuliwa ni kutumikia Taifa sio kumtumikia aliyekuteua
Utapaswa kukataa uteuzi iwapo malengo ya aliyekuteua ni kutaka ukamtumikie yeye!
Kwa dhana uliyonayo maana yake watumishi waumma waache kazi iwapo ataingia madarakani Rais wasiyemtaka
Haupaswi kuwa na kibri kung'ang'ania unachojiaminisha mwenyewe!
Mafundisho ya matendo ya kanisa yameainishwa kwenye katekisimu ya kanisa
Itafute usome ujue tendo la kitubio Cha kanisa lina hatua zipi za kufuata
Huo Ni Uzushi,
Lakini kwenye wengi Kuna mengi
Serikali hasa maafisa usalama zilijaribu kurubuni baadhi ya mapadre na maaskofu ili kupata Siri mbalimbali za waumini waliowatarget
Wakati mwingine maafisa usalama walipenyezwa kuwa maaskofu ili kufanya namna ya kupata Siri za wale waliowatafuta
Na...
Kuungama ni Nini?
Kuungama ni tendo la kukiri uovu wako mbele ya watu au mtu. Kwa mfano upo ofisini umeiba charger ya mfanyakazi mwenzako. Yule uliyemuibia unamuuona anahangaika kwa uchungu kuitafuta. Anagombana na watu kadhaa akiwatuhumu kuwa wamechukua. Mbaya zaidi Kumbe naye aliiazima kwa...
Sio wanajifanya hawapo pamoja
Ni kweli wanakuwa hawapo pamoja kwa sababu ya makundi ya kupigania Uchaguzi
Ila Uchaguzi ukiisha kila mmoja anarudi kundini kutafuta teuzi na kuandaa mazingira ya Uchaguzi mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.