Yaah,
Walau leo umeleta data za uchezaji Bora, kuliko zile data za mafanikio,
Anyway, Ila Brother wewe Ni Messi kamili kasoro ngozi
Salute kwako
[emoji106]
Bado unazuzuka na takwimu,
Takwimu hazioneshi ubora, Ila zinaoneasha mafanikio, whether umeyapata kwa ubora wako au kubebwa na timu haizingatiwi
Unazungumzia kufika Messi kufika fainali na Argentina Mara mbili kana kwamba wachezaji wenzake kwenye timu nao hawakufika Mara mbili
Au utadhani Kama...
Acha kushupalia takwimu!
Takwimu sio suluhisho la ubora wa mchezaji
Hivi hauamini Barcelona Ilikuwa Bora?
Kwani angechezea huko Napoli angefunga magoli yote hayo?
Na je unajua ratiba za mechi za timu ya Taifa la Argentina miaka ya Maradona na miaka ya Messi?
Na je akili yako ya kawaida...
Watu Kama mtoa mada ni wagumu Sana kuishi nao
Mambo simple tu wamepandwa na jazba Kama JPM
Hisia zako ungezieleza kwa mdogo wako ili ajue amekukwaza vipi na kumpa ushauri akuchukulie vipi kwenye situation Kama hii then maisha yaendelee
Yaani na hili dogo livunje undugu wenu, upendano wenu...
Unakwenda baa kunywa pombe halafu unadai chenji sh. 500
Ingekuwa una uchungu wa kupoteza pesa usingekunywa pombe,
Unapoteza fedha zaidi ya sh 10k kununua pombe na hauoni uchungu, then unaona uchungu sh. 500 kubaki kwa dada yako apate pesa ya kula mjini
Hizi roho nyeusi mnazitoaga wapi? Nachojua...
Kumbuka utamaduni wa kula si lazima uwe na SI unit
Je, mtoto wa mwezi mmoja utamlisha nyama gani Kati ya samaki, kuku na Ng'ombe?
Mgonjwa dhoofu utamlisha nyama gani?
Lengo la kula Ni kupata viini lishe ( nutrients) katika mwili
Sukari, protini, mafuta, vitamini
Hapo Ni juu yako kuamua ule Nini...
Enzi za kale, mabeki tatu walikuwa ni chakula kitakatifu Cha wafalme!
Cha ajabu hata wafalme wa Mungu walijizolea waschana wengi hadi uzeeni,
Sisi Leo tunajifanya eti si Jambo jema, wakati wafalme waliojazwa hekima walijua ni Jambo jema kwa mwanamume rijali kula mema ya dunia kwa kumiliki...
Watu wakikosa hoja za kujisifu kwa jamii, watatumia hoja za dini, kabila na makazi yao waliyozaliwa
Ila itabaki kuwa PCM ameijenga heshima mtaani kuliko mwenezi yoyote ninayomjua tangu kuanza kwa siasa za vyama vingi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani ndugu, ulipopewa jina Kuna conditions ziliwekwa za mazingira yapi na watu gani wanaruhusiwa kutumia jina lako?
Uliposajili namba yako ya simu, Kuna conditions ziliwekwa za mazingira yapi na watu gani wanaruhusiwa kutumia namba yako ya simu?
Ulipoingia shule, ukapewa namba ya mtihani, Kuna...
Makonda hajakishurutisha Chama kimpe mafungu ya ziara!
Alichofanya ni kuwasilisha mpango kazi wa ziara zake, then Chama kikaridhia na kumpa mafungu na magari,
Kama ziara zake ni uharibifu wa Kodi, Basi peleka lawama zako kwa chama
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.