Recent content by Weakman

  1. W

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Raia na watumishi wa umma wa Nchi za watu wenye akili hawapo Kama Tanzania Kwa kigezo hicho haipaswi viongozi wa huku waende sawa na viongozi wa huko!
  2. W

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Yaah, Walau leo umeleta data za uchezaji Bora, kuliko zile data za mafanikio, Anyway, Ila Brother wewe Ni Messi kamili kasoro ngozi Salute kwako [emoji106]
  3. W

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Bado unazuzuka na takwimu, Takwimu hazioneshi ubora, Ila zinaoneasha mafanikio, whether umeyapata kwa ubora wako au kubebwa na timu haizingatiwi Unazungumzia kufika Messi kufika fainali na Argentina Mara mbili kana kwamba wachezaji wenzake kwenye timu nao hawakufika Mara mbili Au utadhani Kama...
  4. W

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Acha kushupalia takwimu! Takwimu sio suluhisho la ubora wa mchezaji Hivi hauamini Barcelona Ilikuwa Bora? Kwani angechezea huko Napoli angefunga magoli yote hayo? Na je unajua ratiba za mechi za timu ya Taifa la Argentina miaka ya Maradona na miaka ya Messi? Na je akili yako ya kawaida...
  5. W

    Dogo amenikera mpaka nahisi kumchukia mazima

    Watu Kama mtoa mada ni wagumu Sana kuishi nao Mambo simple tu wamepandwa na jazba Kama JPM Hisia zako ungezieleza kwa mdogo wako ili ajue amekukwaza vipi na kumpa ushauri akuchukulie vipi kwenye situation Kama hii then maisha yaendelee Yaani na hili dogo livunje undugu wenu, upendano wenu...
  6. W

    Wahudumu wa baa, hotel acheni kubana chenji za wateja hata kama ndogo

    Unakwenda baa kunywa pombe halafu unadai chenji sh. 500 Ingekuwa una uchungu wa kupoteza pesa usingekunywa pombe, Unapoteza fedha zaidi ya sh 10k kununua pombe na hauoni uchungu, then unaona uchungu sh. 500 kubaki kwa dada yako apate pesa ya kula mjini Hizi roho nyeusi mnazitoaga wapi? Nachojua...
  7. W

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    Kwahio unasikitika kwasababu wengi waliumizwa? Ila wengi wanapotuumiza wewe hausikitiki? Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. W

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    Lini mapato ya Taifa yalishuka? Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  9. W

    Kwanini Makonda anafuatwa na viongozi wa dini kuombewa sana?

    Sio viongozi wa dini tu, Na raia wengi tunamuombea Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. W

    Samaki, nyama, kuku na maharage kuliwa kama mboga ni dalilli ya umaskini?

    Kumbuka utamaduni wa kula si lazima uwe na SI unit Je, mtoto wa mwezi mmoja utamlisha nyama gani Kati ya samaki, kuku na Ng'ombe? Mgonjwa dhoofu utamlisha nyama gani? Lengo la kula Ni kupata viini lishe ( nutrients) katika mwili Sukari, protini, mafuta, vitamini Hapo Ni juu yako kuamua ule Nini...
  11. W

    Ningekuwa Rais Samia, leo ningemtumbua Makonda akiwa uwanja wa KIA kabla hajakanyaga ardhi ya Arusha

    Makonda ni spesho Kila mwanadamu Ni spesho Tambua uspesho wako uutumikie Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  12. W

    Mbinu za kumteka dada wa kazi

    Enzi za kale, mabeki tatu walikuwa ni chakula kitakatifu Cha wafalme! Cha ajabu hata wafalme wa Mungu walijizolea waschana wengi hadi uzeeni, Sisi Leo tunajifanya eti si Jambo jema, wakati wafalme waliojazwa hekima walijua ni Jambo jema kwa mwanamume rijali kula mema ya dunia kwa kumiliki...
  13. W

    Ni kweli CCM ni chama cha watoto wa Mjini tangu kikiwa TAA kisha TANU. Walugaluga walialikwa tuu.

    Watu wakikosa hoja za kujisifu kwa jamii, watatumia hoja za dini, kabila na makazi yao waliyozaliwa Ila itabaki kuwa PCM ameijenga heshima mtaani kuliko mwenezi yoyote ninayomjua tangu kuanza kwa siasa za vyama vingi Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. W

    DOKEZO Je, Chuo cha Tabora Polytechnic kilichopo Tabora mjini kimeuziwa taarifa za wanafunzi na Ndono Sekondari?

    Kwani ndugu, ulipopewa jina Kuna conditions ziliwekwa za mazingira yapi na watu gani wanaruhusiwa kutumia jina lako? Uliposajili namba yako ya simu, Kuna conditions ziliwekwa za mazingira yapi na watu gani wanaruhusiwa kutumia namba yako ya simu? Ulipoingia shule, ukapewa namba ya mtihani, Kuna...
  15. W

    Kama Kazi ya Uenezi imemshinda Paul Christian Makonda nani ataiweza?

    Makonda hajakishurutisha Chama kimpe mafungu ya ziara! Alichofanya ni kuwasilisha mpango kazi wa ziara zake, then Chama kikaridhia na kumpa mafungu na magari, Kama ziara zake ni uharibifu wa Kodi, Basi peleka lawama zako kwa chama Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom