Recent content by we need changes

  1. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    Mkuu ungeelezea vzuri zaidi lkn inaonekana huijui vzuri physiotherapy ungeuliza uijue vzuri
  2. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    Mkuu sekta ya afya bado ina upungufu mkubwa wa ajira kwa hlo shaka ondoa.
  3. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    ile ni possible amount which means unaweza kupewa zaidi ya hyo amount.
  4. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    unaweza ukapata kutokana na matokeo yako,lkn pia usisahau kuwa kuna kozi zingine za afya nzuri uapply nazo kama optometry na Physiotherapy.
  5. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    iko vzuri pia usijali,hongera kwa uchaguzi mzuri.
  6. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    hyo ni possible loan mkuu lkn wanafunzi waliodahiliwa mwaka jana tuition fee loan wamepata 3.1M ina maana wao wanaongeza iliyobaki kwaiyo unaweza ukajichanga kiasi kinachobaki mkuu if possible.
  7. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    kaka hii ni health care profession ambayo nchi yetu bado ina upungufu wa wataalamu wa afya kwahyo hicho ulichokisema hakipo, Diploma ipo tangu muda na hakuna graduate wa diploma wanaokosa kazi. kwaiyo bachelor degree haitakuwa na usumbufu kama huo kabisa.
  8. W

    Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

    Kama umehitimu kidato cha sita PCB, PCM, CBG au PGM nakushauri uchague Bachelor of science in Optometry. Ni program mpya katika chuo cha KCMUCo, Moshi. Optometry ni eye health care professional. Nakaribisha maswali Zaidi.
  9. W

    10 Greatest Rappers Of All Time In Tanzania

    One wa miujizaa ana balaa kuliko huyo nikki. Hashimu dogo anastahili kuwa top ten
  10. W

    natafuta chumba cha kupanga Moshi, karibu na kcmc

    Chumba kisizid elfu 50 na kiwe karibu na chuo,ahsante
  11. W

    Nimechaguliwa Bsc in optometry kcmc

    Mkuu nipm tumechaguliwa faculty moja chuo kimoja
  12. W

    KCMCO Selection hizi hapa

    Nmepangwa Bsc optometry,kama umepangwa kcmc ni pm
  13. W

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Ajira zake zinapakana na ni kama zipi kwa nchi yetu
Back
Top Bottom