Recent content by Wazobora

  1. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Nashukuru sana na karibu sana boss wangu
  2. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Unapatikana maeneo gani boss. Tunaweza tembeleana tukijaliwa wakati
  3. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Habarini tena wanajf. Binafsi niwashukuru sana kwa muitikio mkubwa mlio uonesha katika biashara yangu. Pia kulingana na wingi wa oda tulizo nazo na oda mlizotupa tunaomba radhi kwa wateja wetu ambao kwa namna moja ama nyingine watachelewa kufikiwa na huduma yetu kutokana na umbali tuliopo kwa...
  4. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Karagwe mkuu Karibu sana
  5. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Naam mkuu ndio hayo hayo.. Karibu sana ujipatie mtindi tuwasiliane kwa namba hizo hapo kama una uhitaji nayo
  6. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Habari zenu wanajf. Nitumie fursa hii kuwatangazia kuwa ninauza maziwa mgando kwa bei ya tsh1,500/= kwa lita moja maziwa yetu ni mazuri hayaja chakachuliwa kwa namna yoyote ile. Makazi yangu ni mkoa wa Kagera. Kama upo mkoa tofauti na mkoa wa Kagera itakupasa kulipia gharama za usafirishaji...
  7. Wazobora

    Jinsi ya kuanzisha kampuni la mtandao wa simu Tanzania

    Habarini Wapendwa, Poleni na majukumu ya ujenzi wa nchi. Tafadhali kwa yeyote mwenye kujua kuhusiana na taratibu na vigezo vya kuwa navyo ili kuanzisha mtandao wa simu Tanzania, tafadhali ningeomba anijuze mimi pamoja na wengine ambao wangependa kufahamu kitu kuhusiana na hili Pia ningependa...
  8. Wazobora

    Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

    Mkuu ni PM tuongee Nkuhungu upo
  9. Wazobora

    Hii ndio Cybersquatting

    Cybersquatting ni nini? - Cybersquatting ni kitendo cha kihalifu kinachofanyika mitandaoni, ambapo muhalifu wa kimtandao au mdukuzi, huchukua, hudukua au hununua jina husika mtandaoni ambapo jina hilo linamilikiwa na kampuni, mtu au biashara husika ambapo pia kwa upande mwingine huwa na...
Back
Top Bottom