Recent content by Wazo la kabwela

  1. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nasikia Simbachawene ameambiwa apige jeramba kuna sub inafanywa

    Kwa tetesi zilizopo nasikia Simbachawene ameambiwa apashe misuli moto kuna namba uwanjani inapwaya vibaya mno... kikwazo ni kwamba hakuna kocha mwenye mamlaka wa kumtoa huyo mchezaji mchezoni labda wamuuwe
  2. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    Mnaofuatilia vipi?? Balozi yuko pembeni?? Au ni kweli wamemfunga??
  3. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania Wanasheria: Ikiwa Rais na Makamu wa Rais wanachaguliwa kama timu moja uchaguzi mkuu, unaweza kumpigia Rais kura ya kukosa imani Makamu akabaki?

    NA walishapiga kura ya kutokua na imani na Rais automaticaly bunge nalo linavyunjwa kupisha uchaguzi mkuu mwingine.... ni mbunge gani mwenye ujasiri wa kupiga hiyo kura??
  4. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Hujui siasa. Angekua ni mtu mwepesi... Jiwe na ubabe wake wote angemuacha hapa hapa bongo. MAGU alijua nguvu na ushawishi wake na ndio maana akampeleka Brazil ili asiwe kikwazo kwake maana alimshindwa... Tumia akili kufikiri
  5. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown

    Unakatwa na baba mkwe kwa nyma
  6. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jenista Mhagama Sekondari wanafunzi wanaanguka kwa mapepo

    Hata wavulana wanaangykua
  7. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jenista Mhagama Sekondari wanafunzi wanaanguka kwa mapepo

    Hii hali sasa imekuwa too much. Serikali ingilieni kati toka mwezi wa pili mwaka huu wanafunzi wa shule ya sekondari JENISTER MHAGAMA wa kidato cha kwanza na kidato cha tatu wamekuwa wakianguka mapepo... Leo watoto zaidi ya 100 wameanguka na hali zao ni mbaya wengine hawaoni wala kuongea...
  8. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kupoteza nyeti, tumesahau Ripoti ya CAG, kupanda bei ya Mafuta na Ripoti ya Chande. Fungua macho Mtanganyika!

    Toka huu ujinga unatokea kule tunduma nilisema hii ni agenda ya kututoa kujadili mambo ya msingi... na nikasema hili jambo litazagaa nchi nzima ili kelele zisiwepo. Na ndio inavyotokea...... mtu atakushikaje bega mbupu na kende zake zipotee???
  9. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania KERO Wazazi tunalazimishwa kuchangia chakula kila siku katika Shule ya Sekondari Ipala

    Wakati ana....to...mba mkewe hakujua kuwa atapata watoto wengi??
  10. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania Ajira Mpya Uhamiaji Tangazo La 29 Desemba 2025

    Jeshi la wokovu
  11. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania Hivi namba 3 alifanyiwa usaili au ilikuaje??

    Sio tunamuita wewe ndio unamuita.. huku Tanganyika waziri wa Tamisemi ana nguvu kuliko huyo mkuu wenu wa mkoa huko visiwani
Back
Top Bottom