Toka huu ujinga unatokea kule tunduma nilisema hii ni agenda ya kututoa kujadili mambo ya msingi... na nikasema hili jambo litazagaa nchi nzima ili kelele zisiwepo. Na ndio inavyotokea...... mtu atakushikaje bega mbupu na kende zake zipotee???
Nauliza tuu wana bodi hivi namba 1 na namba 2 walikaa pamoja na wasaidizi wao wakaona watuletee namba 3?? Walitumia vigezo gani?? Au tuwaache tuu waendelee na mambo yao sisi hayatuhusu??
Wachaga nbawaonea sana .. CRDB alikuwa kimei na ilikua inaenda sanaaa mzee wa watu kastafu kamuachia mzanzibar na mswahilina mwenzenu benki inaporomoka mnasingizia mchaga . Hii nchi sijui kwa nini wachaga wanachukiwa sana
Kingine Hawa viongozi Huwa wanahisi walimu kma ndo chuo au uwanja wao wa mazoezi ya kujifunzia uongozi na mikwaraaaa
Badala aanze na uozo uliopo pale ofisini kwao TAMISEMI,
watu wavivu,wapiga deal za uhamisho na watoaji Vibali fake
Lkn anahisi uongozi Bora ni kuwatisha Walimu tu
Kingine Hawa viongozi Huwa wanahisi walimu kma ndo chuo au uwanja wao wa mazoezi ya kujifunzia uongozi na mikwaraaaa
Badala aanze na uozo uliopo pale ofisini kwao TAMISEMI,
watu wavivu,wapiga deal za uhamisho na watoaji Vibali fake
Lkn anahisi uongozi Bora ni kuwatisha Walimu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.