Recent content by Wazo la kabwela

  1. Wazo la kabwela

    Suala la watu kupoteza nyeti, tumesahau Ripoti ya CAG, kupanda bei ya Mafuta na Ripoti ya Chande. Fungua macho Mtanganyika!

    Toka huu ujinga unatokea kule tunduma nilisema hii ni agenda ya kututoa kujadili mambo ya msingi... na nikasema hili jambo litazagaa nchi nzima ili kelele zisiwepo. Na ndio inavyotokea...... mtu atakushikaje bega mbupu na kende zake zipotee???
  2. Wazo la kabwela

    KERO Wazazi tunalazimishwa kuchangia chakula kila siku katika Shule ya Sekondari Ipala

    Wakati ana....to...mba mkewe hakujua kuwa atapata watoto wengi??
  3. Wazo la kabwela

    Hivi namba 3 alifanyiwa usaili au ilikuaje??

    Sio tunamuita wewe ndio unamuita.. huku Tanganyika waziri wa Tamisemi ana nguvu kuliko huyo mkuu wenu wa mkoa huko visiwani
  4. Wazo la kabwela

    Hivi namba 3 alifanyiwa usaili au ilikuaje??

    Nauliza tuu wana bodi hivi namba 1 na namba 2 walikaa pamoja na wasaidizi wao wakaona watuletee namba 3?? Walitumia vigezo gani?? Au tuwaache tuu waendelee na mambo yao sisi hayatuhusu??
  5. Wazo la kabwela

    KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    Wachaga nbawaonea sana .. CRDB alikuwa kimei na ilikua inaenda sanaaa mzee wa watu kastafu kamuachia mzanzibar na mswahilina mwenzenu benki inaporomoka mnasingizia mchaga . Hii nchi sijui kwa nini wachaga wanachukiwa sana
  6. Wazo la kabwela

    TAMISEMI yawataka watumishi kuripoti kazini saa 1:30 asubuhi

    Kingine Hawa viongozi Huwa wanahisi walimu kma ndo chuo au uwanja wao wa mazoezi ya kujifunzia uongozi na mikwaraaaa Badala aanze na uozo uliopo pale ofisini kwao TAMISEMI, watu wavivu,wapiga deal za uhamisho na watoaji Vibali fake Lkn anahisi uongozi Bora ni kuwatisha Walimu tu
  7. Wazo la kabwela

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Kingine Hawa viongozi Huwa wanahisi walimu kma ndo chuo au uwanja wao wa mazoezi ya kujifunzia uongozi na mikwaraaaa Badala aanze na uozo uliopo pale ofisini kwao TAMISEMI, watu wavivu,wapiga deal za uhamisho na watoaji Vibali fake Lkn anahisi uongozi Bora ni kuwatisha Walimu tu
  8. Wazo la kabwela

    PostGE2025 Rais Samia amteua Binti yake Wanu Hafidh, kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu

    Halafu elimu sio swala la muungano.... inakuaje mzanzibar anakuwa waziri anayeshukulikia elimu???
  9. Wazo la kabwela

    CCM Kizimkazi tayari wanamsagia kunguni Emmanuel Nchimbi

    Sio lazima anaweza kupewa eneo lolote hata TAMISEMI, utumishi n.k ni uamuzi tuu
  10. Wazo la kabwela

    CCM Kizimkazi tayari wanamsagia kunguni Emmanuel Nchimbi

    Alimwambia magu wazi wazi . Magu akanywea
  11. Wazo la kabwela

    CCM Kizimkazi tayari wanamsagia kunguni Emmanuel Nchimbi

    Nchimbi sio mtu wa kuyumbishwa hovyo.. magufuli mwenyewe alimwogopa akamtupa brazil asimsumbue... itakua mama abdul???
  12. Wazo la kabwela

    PostGE2025 Sitashangaa kuona wabunge wateuliwa wa CCM wakitangaza kujiuzulu na Tulia huenda ndio atakuwa wa kwanza

    U uspika ni ukuu wa mhimili hata waziri mkuu ni mdogo kwake kiutawala.. aachie uspika kisa uwaziri????
Back
Top Bottom