Recent content by waziwani

  1. W

    Kati ya Xiaomi 15T na Samsung A56 ninunue simu gani

    xioami ipi inaweza compete na samsung A36 kwa budget ya 500k-600k kipaumbele performance na ukaaji wa charge.
  2. W

    KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Naomba Ushauri, Mimi nahitaji Router nitakayotumia kwenye matumizi kawaida ya kubrowse mtandaoni na matumizi tu ya kawaida, na kustream online kwenye DSTV na kudownload movie lakini sio sana. Nichukue internet ya speed ipi zuri pia mtandao upi ulio na unafuu kwa matumizi haya. Hasa hasa...
  3. W

    Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Nina budget ya 500k mpaka 550k naweza pata simu ipi zuri vipaumbele ni Performance na ukaaji wa battry, pia na muonekano Chief nisaidie hapo.
  4. W

    Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Chief, ushauri wako Ni budget ya 400k, Nahitaji simu. Vipaubele ni Performance na Battery labda na monekano ipi inafaa kwa budget hiyo.
  5. W

    Je, Kamera ya Simu inaweza kuizidi Kamera ya kawaida kwenye ubora wa Picha?

    Chief-Mkwawa nisaidie hapa Samsung s24 fe upande wa kamera inafaa na kama sio ipi inafaa kwa upande wa midrange yenye camara zuri.
  6. W

    Tukiachana na Flagship phones, nipe ushauri wa Mid range smartphones ukitoa Tecno na Infinix!

    Chief naomba kuuliza Oneplus 13s ni worth kununua kwa tsh 1500,000 Kipaubele ni simu yenye size dogo lakini battery iwe zuri pia perfomance iwe zuri. Ushauri wako chief.
  7. W

    Simu gani nzuri kwa bajeti ya laki 2?

    Chief naomba kuuliza Oneplus 13s ni worth kununua kwa tsh 1500,000 Kipaubele ni simu yenye size dogo lakini battery iwe zuri pia perfomance iwe zuri. Ushauri wako chief.
  8. W

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Sahamani tena chief, nisaidie pia hii kama ni ya kupgrade Ssd nayo inatumia Hard drive iko slow sana
  9. W

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Chief, Naomba kujua shida ya hii mashine nini kuwa slow kwenye utendaji wa kazi, hata kurestart inachukua muda murefu kuwaka.
  10. W

    Simu Bora zaidi kununua kwa Sasa (2024)

    Naomba kuuliza hii simu poco M6 pro 5G kutoka India inaweza fanya kazi vizuri kwa hapa bongo, hasa upande wa Mtando na ubora wake ukilinganisha na budget. nataka kuangizia India.
Back
Top Bottom