Watu mnawazaje lakini?
Sikumbuki wydad alikuwa kundi gani, but the likes of madrid, juve, man city, chelsea ndio unampima na kum asses Azizi Ki na Selemani mwalimu. Guys tuache nongwa.
Muwe mnajiongeza, mimi nimempigia simu akanisimulia pale alipoishia mpaka hali ilivyo kwa sasa. Nimefanya hivyo ili kupunguza mikesha isiyo na maombezi. Asante sana patrickk .
A guy Kibabage hamna sehemu anafanya vizuri katika vyote viwili. At least ujue kuwa anaweza kukuoffer kimoja kati ya viwili.
Kuna sajili tunafanya ili mradi, hatuendani na mahitaji yetu bali tunasajili kwa sababu mchezaji fulani anapatikana kwa wakati huo.
Daah umekumbusha mbali aise. Nikikosa hicho kipind lazim niulize mwendelezo kwa wafuatiliaji wenzangu. Hamna kitu kilikuwa kinakera kama redio kukatika. Sijui ilikuwa inasababishwa na nini?
Hapa umegusa roho yangu kabisa. Ni redio yangu pendwa hii tokea miaka mingi.
Vodacom burudani zaidi ndani kukiwa na section ya sindano kali za moto, alitangaza Fred Fidelis kila asubuhi ukitoa wikiend
Sintasahau hichi kilikuwa cha fredrick Bundala sky walker. Ni matukio ya kusisimua sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.