Siri nzito sakata la Lema
• Yadaiwa ni mkakati wa CCM kuipora CHADEMA kata
na Ramadhani Siwayombe na Josephat Isango
TUKIO la kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa...
Mchakato wa marekebisho ya kanuni za Bunge umeibua mjadala mkali baina ya wabunge, huku wengi wao wakieleza kuwa hatua hiyo ina lengo la kulifanya Bunge kukosa meno ya kuisimamia Serikali.
Miongoni mwa mambo yaliyozua mvutano katika kikao cha awali cha wabunge wote ni suala la muda wa...
SIKU moja baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba, kukiri kuhusika na video inayomuonesha Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare, maswali mengi yameibuka juu ya kada huo.
Baadhi ya wananchi wamelidokeza Tanzania Daima Jumatano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.