Mwache atoe maoni yake si lazima yafanane na yako yeye anajua anachokisema. Bila ukweli kusemwa wazi na hadharani hatutasonga mbele kama Taifa. Wewe kweli unaamini Chadema ilipata jimbo moja tu? Kwa nini chama tawala kilikata rufaa wakati wakurugenzi walipoondolewa na mahakama kuu kusimamia...
Mwacho atoe maoni yake si lazima yafanane na yako yeye anajua anachokisema. Bila ukweli kusemwa wazi na jadharani hatutasonga mbele kama Taifa. Wewe kweli unaamini Chadema lipata jimbo moja tu? Kwa nini chama tawala kilikata rufaa wakati wakurugenzi waliondolewa na mahakama kuu kusimamia...
Sasa kwa mfano CUF unaweza kukiita chama cha kisiasa tena cha upinzani hali mwenyekiti wake Lipumba anampa mbinu za ushindi mwenyekiti wa chama tawala!? Na wanachama na viingozi wenzake wako kimya tu hawasemi lolote kweli utaamini hicho ni chama cha siasa? Chama kinachoongozwa na Profesa...
So wewe waona utaratibu haukufuatwa? Tatizo Watanzania tumekuwa waumini wa siasa chafu badala ya siasa safi ndo mana tunapigamakitaimu kufikia malengo chanya ya jamii ya wanadamu. Watu wengi wanaikataa siasa safi ambayo ni mojawapo ya mambo ya kutufanya tuendelee. Mtu mzima unakuta anashabikia...
Ubora wa mwanasiasa ni kuwa muadilifu. Nazidi kutilia mashaka maandiko yako kama unashabikia wanasiasa wasio waadilifu na kuwaita asset bora ya kisiasa. Mwanasiasa anayeweza kulaghaiwa na kuikana itikadi yake na ya chama chake unamuita asset! Kwelinimeamini mtu kadri anavyozeeka na akili yake...
Alikwambia? Acha kuwa mtu wa porojo. No research no right to talk, wewe ni mwandishi mahiri na unajua kanuni za uandishi sielewi ni kwa nini huwa unatoa comment na maandiko yasiyoakisi weledi wako.
Kama wakristo hawafuati agano la kale mbona wanashika amri tisa za Mungu zilizotolewa na Mungu kwa Wayahudi kwenye mlima Sinai? Mbona mtu akivunja hizo amri wanampa karipio na kumtenga? Kwa nini amri tisa tu ziwe halali ila moja tu iwe haramu kwao, yaani ya kusali Jumamosi. Wangeacha kuzishika...
Mimi wakati nasoma shule ya msingi na sekondari kuna walimu waliingia darasani na kufundisha vipindi vitatu, vinne ama vitano tu kwa mwaka hali ni wazima kiafya na wakiwa wanakuja shuleni kama kawaida, wengine walitutumia wanafunzi kuandika notisi, kusahihisha mitihani na majaribio na hata...
Si rahisi mtu kutoka chama kingine kushinda unaibu spika ama uspika kwenye bunge la chama kimoja. Naona sasa wapinzani akili zimewarudia. Hata walioshiriki kugombea uspika niliwashangaa!
Sisi ni wa wafanyakazi tuliohamishiwa Zanzibar toka Bara kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi kwa miaka na siku tofauti.
Tulipohamishiwa hapa visiwani kampuni yetu ya G4S ilitupatia mishahara yetu na kutuma michango yetu ya mifuko ya hifadhi ya jamii kama ada katika mifuko yetu ya hifadhi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.