Huyo ni fundi seremala mzuri tu...anachonga fenicha vizuri sana maeneo ya Keko maghorofani hapo.
Siku ya kudondoka kwa iliyokuwa Chang'ombe Village (sasa National Hotel), Peter alikuwa ndani ya jengo akirekebisha moja ya milango ya vyumba vya hoteli ghorofa ya tano..
Vigae vilivyoezekea hoteli...
Sijui kwa nini baadhi yetu tunakuwa na mitazamo hasi juu ya kila hatua ya maendeleo inayopigwa...iwe kwa mtu mmoja mmoja au hata kitaifa.
Miundombinu muhimu ni lazima iwe na mifumo ya kiulinzi kama kamera na hata askari kanzu...kamera kama hizo pia zimefungwa daraja la Mwalimu Nyerere kule...
Uanamke (feminism) sio sura, elimu, uwezo wa kifedha n.k. Ni hali ya mwanamke kuwa na mvuto wa kibinadamu wa kike wa asili. Hawa wanawake tunaowaona ni duni wengi wao wanao mvuto wa asili wa kike ambao ki ukweli unawavutia wanaume wengi. Na pia wengi wao msongo wao wa mawazo ni mdogo hivyo...
Niliwaza hilo pia. Kadinali Laurean Rugambwa (1912-1997) ndiye alikuwa kadinali wa kwanza mwafrika katika kanisa katoliki dunia nzima. Alipewa ukadinali 28 Machi 1960 na papa Yohana XXIII. Sidhani kama ana mtaa wenye jina lake!
Tunaye mwanamichezo mahiri Filbert Bayi. Huyu alivunja rekodi ya...
Kiusalama inashauriwa umzuie mvamizi (intruder) kuingia kuanzia nje...kwa mantiki hiyo nazungumzia mlango au milango mikubwa ya kuingilia kwenye jengo (gates) pamoja na uzio (perimeter fence). CCTV cameras hazizuii mtu kuingia bali huonyesha taswira ya kinachotokea mahali zilipoelekezwa kumulika...
Moja ya changamoto kubwa alizokutana nazo Mwalimu J.K. Nyerere baada ya uhuru wa Tanganyika Desemba 9, 1961 na hasa hasa baada ya uasi wa mwaka 1964 ni kutambua mchango wa majeshi katika Tanganyika huru na hasa ukizingatia kuwa Mwalimu na wenzake wengi walioshiriki kudai uhuru hawakuwa askari...
Alipohamia Temeke tu aliongoza kikosi cha askari wakavamia Bar ya Liquid pale maeneo ya Uhasibu majira ya usiku. Wakapiga watu (wengi wao wakiwa ni wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kama T.I.A, DUCE n.k) nguvu kubwa ilitumika ikiwa ni pamoja na mabomu ya machozi...wengi waliumia, kuporwa na...
Miaka ile wao wakiwa timu ya taifa ya riadha wakifanya mazoezi uwanja wa taifa hapa Dar, sisi tulikuwa tunajaribu kuwa wakimbiaji katika mradi wa kujenga vipaji ulioanzishwa na gwiji Filbert Bayi uliojulikana kama 'Operation Bayi'. Way back!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.