Natumia fiber ya TTCL na siko mjini.
Splicing mbovu ya Fiber husababisha ping mbovu. Kuna mtu alipost humu anatumia fiber ya TTCL ila ping kwenda server ya TTCL ilikuwa 60ms while mimi kwenda TTCL kwa Wi-fi ni 3-4ms kwa Ethernet 2ms
Ya kwenye browser hainipi option ya kuchagua server.
Seacom - Isando South Africa
Rain - Johannesburg South Africa
Liquid Intelligent - Nairobi Kenya
Zuku - Nairobi Kenya
Na hapo kuna watu 2 wanazurula na Reels za IG ingekuwa voda ping ungezikuta juu ya bati 300ms to 700ms.
Online...
Hii scenario ni rahisi kuielewa ukiwa na Kinokia cha zamani.
Ila kwa ufupi tu ni hivi. message za kawaida huwa zina limit ya characters 160. Hivyo ukiandika herufi pamoja space zikizidi tu 160 hapo inahesabu kama message 2 katika message moja (multi-part message).
Herufi na space zinavyozidi...
Waraka wa WaterNet kwa wana JF
Mpaka sasa nishatumia mitandao mitatu.
Voda, Tigo na TTCL.
1. Voda nimetumia 20Mbps kwa 115k mwaka 1, nusu mwaka wa Voda nimekuwa nikipata hudumu mbovu below 5Mbps kuna muda hata WhatsApp call haifanyi kazi.
2. Nikahamia Tigo. Nimeitumia kwa miezi 6 kifurushi cha...
Sio unatoa ushindi mzee. Hapo umepewa elimu ndugu.
20/10Mbps ya TTCL ilifanya nikagoogle vizuri na kujua kwa nini wao wameweka hivyo.
By default internationally speed ya internet inayokuwa advertised na IPS’s always ni download speed, speed ya upload inakuwa fraction of download speed.
So...
Ujinga hauna dhehebu sawa. Ila
mzee hii haikubaliki kwa wakatoliki maana ili ufunge ndoa katoliki lazima uwe umebatizwa, una komunyo ya kwanza na umepata kipaimara. Kitu ambacho wasabato wana ubatizo tu kati hivyo vyote na pia ubatizo wa wasabo hautambuliki kwa wakatoliki tofauti na madhebu...
Ndugu kushika yote yahitaji moyo. Maana muda mwingi wanaume tunakuwa kwenye kutafuta ukirudi unakuwa umechoka hata muda wa kusikiliza story za mkeo unakosa unaishia kulala katikati ya story zake.
Kuna mwalimu mmoja wa masomo ya kiroho alizungumza kitu ambacho ni kigumu sana kwetu.
Jamaaa...
Mzee hapo sio kanisa, katoliki hakuna ndoa za mseto ndio maana huwa kunakuwa na matangazo ya ndoa ambayo yanaenda parokia nyingi ili kama kuna kikwazo kimejificha kijitokeze.
So Hapo ni jamaa na makubaliano waliyowekeana na mke wake.
Kwa maana utaratibu wa wasabato na wakatoliki ni tofauti by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.