Recent content by WATANABE

  1. W

    Wakili Robert Amsterdam ni nani?

    Pia msifikiri tumesahau kuwa jao mnaodai kuwa walisaini mikataba hotelini ndio 2015/walikuwa wagombea urais ws CHADEMA. Hivyo CHADEMA ilishapiteza credibility kutoka 2015
  2. W

    TCRA wanaifahamu App ya MS Tanzania?

    Nashukuru sana kwa kutuelimisha wote ambao tulikuwa hatufahamu namna inavyoweza kufanya kazi. Kama nimekuelewa vyema bila ya hiyo app kuwa installed katika simu inayokusudiwa kudukuliwa mtu hawezi kuingilia mawasiliano yako binafsi.
  3. W

    TCRA wanaifahamu App ya MS Tanzania?

    Mara kwa mara nimekuwa nikisoma post mbali mbali katika mitandao watu wakilalamikia App ya MS TANZANIA (Mobile Solutions Tanzania APPS) ambayo inapatikana kupitia PLAY STORE. Inadaiwa kuwa ukiidownload APP hii unaweza kuingilia na kupokea mawasiliano ya simu ya mtu mwingine kama vile ujumbe...
  4. W

    Trafiki Dar wakusanya bilioni 1.9 mwezi February kwa makosa ya barabarani pekee

    Kwani alam za barabarani si zipo unataka kuelimishwa gani zaidi ya hivyo?
  5. W

    UKAWA na dharau kwa wateule wa Rais

    Jana katika taarifa ya habri ya ITV nilimuona Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndg Kasesera akiomba wadau mbali mbali kutoa misaada kwa wahanga wa mafuriko ya Pawaga, sasa ilikuwaje akate misaada ya mbunge wa jimbo husika na kumdhalilisha kama sio choko choko za kisiasa?
  6. W

    Wanaoishi Jana Wanatusumbua Leo; Tutaiokoaje Kesho?

    Usimwonee Mwanakijiji amesema waziz wazi kabisa kwa kazi iliyostahili kufanywa na wapinzani sasa inafanywa na CCM yenyewe, hii ni kutokana na upinzani uliotegemewa na watanzania walio wengi kujhifaulishia watuhumiwa wa ufisadi katika vyama vyao
  7. W

    Wanaoishi Jana Wanatusumbua Leo; Tutaiokoaje Kesho?

    Umesahau kidogo kuwa si Jakaya pekee ila mtandao mzima ndio uliotupofusha watanzania ikiwemo Lowassa.
  8. W

    Rais Magufuli alikabidhi Jeshi la Polisi jukumu la ulinzi Bandarini!

    Nafikiri Magufuli amesahau jinsi hao anaowakabidhi jukumu hilo walivyokuwa wakishiriki wizi wa mafuta huko bandarini
  9. W

    Jim Sinclair threatens to take legal action against Magufuli’s govt if it goes ahead with its plans

    Subiri utaona tu anavyoweza kupambana na wababishaji kama hawa
  10. W

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Dawa ya majipu haya yote ni JPM kuirejesha kampuni za umma za NASACO kuongoza shughuli za meli hap nchini na TIPER kusafisha mafuta hapa hapa nchini katika mikakati yake ya kufufua viwanda, Mwalimu Nyerere hakuwa mjinga kuanzisha hizo kampuni za umma.
  11. W

    Ujenzi wa Chuo cha Muhimbili/Mloganzila Dar, wakamilika

    Sisi wengine tu aishi jirani na hapo ujezi bado unaendelea
  12. W

    Kama tabia za Wapinzani ni hizi, bora tusione kabisa Bunge

    Ikumbukwe hizo fedha zinazobanwa matumizi ni mali ya wananchi wote si za viongozi wa serikali waliopewa dhamna na wananchi, katika jambo kubwa kama hili nashauri tufanye kama wenzetu wa nchi za ulaya wanavyofanya ipigwe kura ya maoni (Referandum) hao wenye mali inayobanwa waulizwe kama wanataka...
  13. W

    Osaka Raha, Bukoba to Dar siyo gari la kupanda

    Badala ya kupoteza muda humu ulitakiwa kutoa taarifa SUMTRA CC taasisi ya walai wa huduma zinzosimamiwa na SUMATRA. Hata ukigoogle utwapata anuani zao.
  14. W

    Pendekezo la kutatua migogoro ya Ardhi hapa nchini

    H Jodoki umenena vizuri sana. Hata enzi za mwalimu wakati ardhi haina thamani watu walikuwa wakiuza viwanja, mashamba walivyoendeleza. Hoja hapa ni suala lijjlikanalo kitaalamu kama LAND SPECULATION yaani sheria kumpa haki mtu kulipwa fidia kwa ajili ya pori alilolishika tuu. Sina tatizo na mtu...
Back
Top Bottom