Recent content by Wasomba

  1. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa Radio 47: Rais Samia anataka kutuharibia Rais Ruto

    Rubbish
  2. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Ule unaopita feli
  3. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Nategemea msimu, shamba langu lipo kwenye ardhi oevu na limepakana na mto hivyo linamwaga maji. Unyevu ni mwingine sana
  4. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Nimepanda furusana mkuu. Mbegu ni gharama LAKINI ni bora sana
  5. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Hongera sana mkuu
  6. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Kwa anayehitaji eneo tuwasiliane. Nahitaji kuunganisha mashamba yangu kwa hiyo nahitaji niuze shamba langu lingine la heka sita am alo limejitenga
  7. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Mambo yanaendela vyema. Tunaendelea kusonga mbele kwa kasi kubwa. Mpunga unachanua, alizeti nayo imeota vyema. Tumepata changamoto kidogo kwenye miwa haikuota vyema kutokana na changamoto ya maji na tope jingi ( nitaweka picha) Nimejifinza kuwa sikupanda katika msimi sahihi hivyo...
  8. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    Mbona hapa Tz hamfi kuitetea bc
  9. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Haya wale vijana mliokuwa mnasema mnasema Iran ni moto wa kuooteza mbdli, mmeona sasa? Kiko wapi?Kabla ya huyo alikuwa Saddam Hussein naye alikuwa mwanba na makelele mengi naye aliliwa kichwa na haohao
  10. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Soko la ajira uarabuni ni kuwa Ma-house boys and Ma-house girls

    Na kule ukienda mwanaume wanakuhanisi kwanza ndipo wanakupa kazi
Back
Top Bottom