Mambo yanaendela vyema. Tunaendelea kusonga mbele kwa kasi kubwa. Mpunga unachanua, alizeti nayo imeota vyema. Tumepata changamoto kidogo kwenye miwa haikuota vyema kutokana na changamoto ya maji na tope jingi ( nitaweka picha) Nimejifinza kuwa sikupanda katika msimi sahihi hivyo...
Haya wale vijana mliokuwa mnasema mnasema Iran ni moto wa kuooteza mbdli, mmeona sasa? Kiko wapi?Kabla ya huyo alikuwa Saddam Hussein naye alikuwa mwanba na makelele mengi naye aliliwa kichwa na haohao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.