Recent content by Wasomba

  1. Wasomba

    Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Nategemea msimu, shamba langu lipo kwenye ardhi oevu na limepakana na mto hivyo linamwaga maji. Unyevu ni mwingine sana
  2. Wasomba

    Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Nimepanda furusana mkuu. Mbegu ni gharama LAKINI ni bora sana
  3. Wasomba

    Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Kwa anayehitaji eneo tuwasiliane. Nahitaji kuunganisha mashamba yangu kwa hiyo nahitaji niuze shamba langu lingine la heka sita am alo limejitenga
  4. Wasomba

    Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Mambo yanaendela vyema. Tunaendelea kusonga mbele kwa kasi kubwa. Mpunga unachanua, alizeti nayo imeota vyema. Tumepata changamoto kidogo kwenye miwa haikuota vyema kutokana na changamoto ya maji na tope jingi ( nitaweka picha) Nimejifinza kuwa sikupanda katika msimi sahihi hivyo...
  5. Wasomba

    Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    Mbona hapa Tz hamfi kuitetea bc
  6. Wasomba

    Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Haya wale vijana mliokuwa mnasema mnasema Iran ni moto wa kuooteza mbdli, mmeona sasa? Kiko wapi?Kabla ya huyo alikuwa Saddam Hussein naye alikuwa mwanba na makelele mengi naye aliliwa kichwa na haohao
  7. Wasomba

    Soko la ajira uarabuni ni kuwa Ma-house boys and Ma-house girls

    Na kule ukienda mwanaume wanakuhanisi kwanza ndipo wanakupa kazi
  8. Wasomba

    Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Baada ya kufanya kazi miaka mingi na kuona hakuna kikubwa ninachopata kazini zaidi ya pesa ya kula, kusomesha na kujenga nyumba tena kwa tabu sana, nimeona nifikirie kuanza hivi Mpwa wangu. Hatua ya kwanza :- Nimeingia benki kukopa na kununua eneo maeneo ya kata Mbigiri Morogoro lenye ukubwa...
Back
Top Bottom