Recent content by WASHE

  1. WASHE

    Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

    Kwan top leader wa sasa hawakuyaona hayo unayoyasema na kama waliyaona kwann walikaa kimya pia tena walikuwa part of dola sembuse Bashiru alikuwa katibu wa chama Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  2. WASHE

    Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

    Usidhani kuwa Bashiru yuko peke yake na bado mapema sana huko mbeleni mtawaona wengi tuu Lake zone mtawajuwa hamjuw subri hilo galambe lijalo Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  3. WASHE

    Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

    Kwan wewe ni mungu? Acha ujuha Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  4. WASHE

    CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

    Kama ulivyomnafiki wewe Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  5. WASHE

    GE2020 Mbeya na Iringa bado ngoma ngumu kwa CCM

    Ongezea na mifuko ya hifadhi ya jamii, wanachama kuzuiliwa kuchukua mafao hadi afikishe MIAKA 55 how comes mwanachama ambaye ni mwajiriwa wa sekta binafsi ambaye ajira yake ni ya muda mfupi unamwambia asubri MIAKA 55? Hapo magufuli kachemka lissu nayo hiyo ni pointi mhimu kwake
  6. WASHE

    CCM yangu tunazidi kuonesha ushamba! Sio kupigiwa kura tu hata kukihama CCM sasa nipo tayari maana tunachukiwa kweli!

    Ww wa idukilo ndiyo mshamba zaidi inawezakanaje muungozwe na NCHAMBI MIAKA YOTE? na mgodi wenu umesimama hadi leo na hakuna tamko lolote? Hata barabara ya kolandoto to mhunze kiwango cha lami imeshindikana, hata zao la pamba limekufa hadi watu waligawana pamba yao kwenye maghala, shame on you...
Back
Top Bottom